• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mkuu Wa Wilaya Aagiza Hatua Kali Zichukuliwe Kwa Wanaoharibu Vyanzo Vya Maji

Imetumwa: March 29th, 2023

Mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Mhe. Amir Mkalipa ameagiza kuchukuliwa hatua kali za kisheria kwa watu watakaobainika kuharibu vyanzo vya maji ikiwa ni pamoja na ukataji wa miti hususani kwenye vyanzo vya maji.

Mkalipa ambaye ameambatana na Katibu Tawala wilaya hiyo Upendo Wella, ametoa agizo hilo alipokuwa akizungumza na wafanyakazi wa bodi za maji wilaya ya Hai ikiwemo ya Uroki Bomang'ombe na Losaa Kia ambapo ameeleza kuwa waharibifu wa vyanzo vya maji wakiwemo wakataji wa miti wataadhibiwa kwa mujibu wa sheria za nchi.

"Nimeagiza hatua kali zichukuliwe kwa wale watu ambao wanakata miti hasa kwenye vyanzo vya maji, mto Kikafu ndiyo watu wanakata miti na huko Machame watu wanavuna mbao, nimeagiza wachukuliwe hatua kali za kisheria na tutawaongezea adhabu ya mtu kupanda miti na lazima mti ukue, uumwagilie, ufanye nini lazima ukue"

Katika hatua nyingine Mkuu huyo wa wilaya tayari ameagiza wakala wa misitu wilaya hiyo TFS kutafuta miti rafiki ambayo itapandwa kwenye vyanzo vya maji vilivyopo wilayani Hai ikiwa ni programu maalum ya upandaji miti wilayani humo kwa lengo la kukabili mabadiliko ya tabia nchi.

Aidha Mkalipa amekemea tabia ya baadhi ya watu wanaochepusha maji kutoka kwenye miundombinu ya maji bila kufuata utaratibu kwani atakayebainika kufanya hivyo atachukuliwa hatua kwa kupelekwa mahakamani pamoja na kusitishiwa huduma ya maji.

Awali akizungumza katika kikao hicho, meneja wa bodi ya maji Uroki Bomang'ombe Mhandisi Arnold Mbaruku amemueleza mkuu wa wilaya kuwa kwa sasa wana upungufu wa lita milioni 1 za maji kufuatia ukame uliosababisha kukauka kwa vyanzo vitatu vya maji na kuongeza kuwa mahitaji yao ya maji ni lita milioni 9 kwa siku.

Kwa upande wake meneja wa bodi ya maji Losaa Kia Jerry Joseph amemshukuru Rais Dkt. Samia kwa kazi kubwa anayoifanya hususan katika sekta ya maji na kuahidi kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili wananchi waendelee kunufaika na huduma nzuri ya maji safi na salama.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai