• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mkuu wa Wilaya Asitisha Fedha Zilizotolewa Kinyume na Utaratibu

Imetumwa: July 10th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Hai Mh Lengai Ole Sabaya amesitisha matumizi ya fedha za mfuko wa jimbo zilizotolewa na Mbunge  kwa kukihuka taratibu za kisheria  ambayo inahitaji miradi yote inayo tekelzwa na fedha hizo kuidhinishwa kabla ya mwezi desemba kila mwaka na ameagiza zipelekwe kwenye mradi utakao saidia wananchi wengi na kuleta tija.

Sabaya ametoa agizo hilo wakati  akizungumza na wananchi wa wa kijij cha Roo-Sinde kata ya Romu  alipowatembelea kwa lengo la kusikiliza na kutatua kero za wananchi.

Hivi karibuni Mbunge kupitia kamati ya mfuko wa jimbo aligawa fedha kiasi cha silingi 531,230.54 kwa kila kijiji bila kuwa na miradi halisi itakayo tekelezwa na fedha hizo jambo ambalo Mkuu wa Wilaya amesema halina tija kwani hakuna mradi wa maendeleo unao weza kutekelezwa  kwa kila kijiji kwa kiasi hicho

“Kwa mujibu wa sheria ya mfuko wa jimbo kipengele  namba 15 kipengele kidogo cha kwanza, inaelekeza miradi yote iidhinishwe kabla ya mwezi desemba na kwamba ikipia Desemba zitolewe kwa idhini ya Waziri wmenye dhamana ,lakini hadi kipindi hicho kinapita mbunge wenu hakujitokeza kugawa fedha hizo, badala yake anakuja kugawa fedha bila ya kuangalia mahitaji halisi ya  wanachi”amesema Sabaya.

“Nimetoa maelekezo kwamba fedha hizo hazitakwenda popote , tutatafuta mradi mkubwa ambao utanufaisha wananchi wengi, hakuna kugawanya fedha za serikali kama sandakarawe,hakuna kutoa fedha za umma ambazo zinatokana na jasho lenu kisiasa kama nilivyoagiza fedha hizo zitaenda kutekeleza miradi itakayo wasaidia wananchi wengi “

Sabaya amesema fedha  hizo sio za mtu binafsi kama ambavyo katibu wake ametoa taarifa kwenye mitandao ya kijamii na kwamba zinatotolewa na serikali kuasidia kukamilisha au kuanzisha miradi mbali mbali kwenye  jimbo na sio kugawa bila ya kujua mahitaji halisi wala miradi inayoenda kutekelezwa.

“mwaka jana umepita mziam hajaja mbunge wenu kuidhinisha ,hizi kero mnazo kutana nazo kila siku zingetatuliwa na fedha hizi, nina matatizo na namna ambavyo mmbunge anataka kuendesha mfuko wa fedha zinazotolewa na serikali kwa njia ya rimoti”

Akizungumza kwa niaba ya wanachi  Mwenyekiti wa kijiji hicho  Khalfan Swai ,amemshukuru mkuu wa Wilaya ya Hai kuingilia kati suala hilo na kuunga suala la fedha hizo kutekeleza mradi utakao onyesha mafanikio kwa Wilaya .

Hata hivyo mkutano wa kijij cha roo-sinde kata ya romu  na mkuu wa wilaya ya hai Lemgai Ole sabaya akisikiliza na kutatua kero za wananchi papo hapo.

Lengai ole sabaya amesema hakuna kupeleka pesa za mfuko wa jimbo kijijini na badala yake pesa hizo zitapelkwa kwenye mradi mkubwa utakaowasaidia

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai