• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mkuu wa Wilaya Kufanya Upanuzi wa Ktuo cha Polisi

Imetumwa: June 8th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya amekabidhi Mifuko ya Saruji 200 na nondo Tani moja pamoja na kokoto lori moja kwa kituo cha polisi cha Boma Ng'ombe wilayani Hai kwaajili ya upanuzi wa kituo hicho.

Akikabidhi vifaa hivyo vya ujenzi hii leo may 23 2019, Lengai Ole Sabaya amemtaka mkuu wa kito cha polisi Lwelwe Mpina kusimamia vizuri matumizi ya vifaa hivyo vya ujenzi hivyo alivyo vitoa kwa jeshi hilo.

Sabaya amesema kuwa upanuzi wa kituo hicho utawarahisishia wananchi kufika na kupata huduma kwa haraka na kwa urahisi, na kuwa saidia polisi hao kufanya kazi katika mazingira rafiki na yakueleweka.

Amesema “Katika kutekeleza maelekezo ya Mh. Rais kuwasogezea huduma karibu wananchi, Kamatai ya Ulinzi na usalama na wadau wetu tumefanikiwa kupata mifuko hiyo 200,tunaenda kuchimba msingi hapa kwaajili yakujenga jengo jipyaa,sitegemei kabisa mje mniambie hata mfuko mmoja umepotea, mfuko mmoja ukipotea nitawashughulikia,nione kila kitu kwasababu mategemeo yetu hii ndio sehemu yenye nidhamu”.

Amesema kuwa ujenzi wa jengo hilo unategemewa kukamilika ndani ya miezi mitatu huku yeye mwenyewe akiwa mwenyekiti wa kamati inayosimamia ujenzi huo.

“Nanimejipa kazi mimi mwenyewe kwamba mimi mwenyewe ndo mwenyekiti wa kamati hiyo ya ujenzi nimeshajiteua,kwahiyo na ndani ya miezi mitatu ujenzi uwe tayari umeshakamilika” amesema sabaya.

Aidha amewataka askari polisi wakituo hicho kuendelea kufanya kazi kwa uadilifu na kwakuzingatia sheria pasipo kumuonea mwananchi huku wakiendelea kuchukua hatua kali kwa mualifu kwa mujibu wa sheria.

Kwa upande wake Mkuu wa kituo hicho (OCD) Lwelwe Mpina amemshukuru mkuu huyo wawila kwa mchango huo na kusema kuwa kwa sasa  amekuwa mfano bora wakuigwa, huku akiahidi kuyatekeleza yale aliyoyasema na kwamujibu washeria.

Amesema  “Nasisi tunakuahidi yote unayotupa tunayatekeleza, tutafata sheria kwa hivyo hatutaenda nje ya sheria tutafanya kazi sheria inavyotaka, katika wilaya yetu ya Hai naona ni kiongozi unaesimamia sheria vizuri  na sisi tuko nyuma yako hatutaonea wananchi , kila mmoja afanye kazi kama kauli mbiu inavyosema hapa kazi tu”.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai