• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Amshukuru Mhe Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Kwa Fedha Za Maendeleo

Imetumwa: February 2nd, 2023

Mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Amiri Mkalipa amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kupeleka fedha nyingi katika wilaya hiyo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Mkalipa ametoa pongezi hizo alipokuwa akizungumza katika kikao cha kamati ya ushauri wilaya hiyo DCC kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya hiyo ambapo pamoja na mambo mengine amewataka watumishi kuwajibika kwa uwazi na uadilifu.

“Tumeona namna ambavyo Mhe. Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mama Samia Suluhu Hassan ameendelea kutoa fedha nyingi kwenye wilaya yetu kwa ajili ya kusambaza maendeleo ya wananchi katika wilaya ya Hai ambapo jambo hili ni kubwa sana kwa hiyo tukawajibike kwa vitendo” amesema Mkalipa

“Twende tukawajibike, tuwe wawazi, waadilifu, wakweli, na kila aliyepewa dhamana ya kusaidia kwenye nafasi yake akatimize wajibu wake, tumeletwa hapa kumsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia Suluhu Hassan, tujipange kumsaidia vizuri kwa kuwahudumia wananchi wetu kwa misingi ya utawala bora iliyobeba haki na wajibu” ameongeza Mkalipa

Katibu tawala wilaya ya Hai Upendo Wella akizungumza katika kikao hicho cha kamati ya ushauri ya wilaya hiyo ametumia nafasi hiyo kumkaribisha Mhe. Amiri Mkalipa katika wilaya ya Hai ikiwa ni katika siku ya pili ya utekelezaji wa majukumu yake katika wilaya hiyo tangu alipoapishwa Februari 02, 2023.

Naye mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya hiyo Edmund Rutaraka amewataka wakuu wa taasisi za Serikali ikiwemo Ruwasa, Tarura na Tanesco kuhakikisha kuwa changamoto za wananchi zinazoibuliwa na madiwani zinatatuliwa kwa ufasaha na kwa wakati.

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Hai Dionis Myinga ametumia kikao hicho kuwataka viongozi, watendaji wa halmashauri hiyo na wakuu wa taasisi mbalimbali kutumia kikamilifu redio Boma Hai fm kuwaeleza wananchi juu ya miradi mbalimbali inayotekelezwa katika wilaya hiyo.

“nawaasa kutumia redio yetu ya Boma Hai fm kwa matangazo mbalimbali, pamoja na kueleza miradi mbalimbali inayotekelezwa katika wilaya yetu, maendeleo makubwa yanaonekana Mhe. rais ametoa fedha nyingi kwa ajili ya miundombinu ya madarasa, umeme, maji, barabara na kadhalika, vyote hivi tutumie redio Boma kuhabarisha umma na tutapita sawa kuwaambia kwenye vikao lakini redio hii lazima tuitumie kuwahabarisha wananchi hawa” amesema Myinga

Pamoja na mambo mengine kikao hicho cha kamati ya ushauri ya wilaya kimepitia rasimu ya bajeti 2023/2024 ya halmashauri hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai