• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Awataka Wafanyabiashara Kulipa Kodi

Imetumwa: October 4th, 2022

Wafanyabiashara wa sekta binafsi wametakiwa kulipa kodi kwa wakati ili kuepusha usumbufu na ucheleweshwaji wa ukusanyaji wa mapato ya ndani ya nchi jambo ambalo linamhusu kila mfanyabiashara katika ukuaji wa uchumi.

Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa wilaya ya Hai Juma Irando wakati wa uzinduzi wa baraza la wafanyabiashara wilaya ya Hai ambapo ameendelea kusisitiza suala la usafi wa mazingira kwa kila mtu wakati wa mkutano huo.

“mkutano huu unahusisha wafanyabiashara lakini wa sekta mbalimbali tujumuike kwa pamoja wakulipa kodi walipe kwa wakati , na wa ukarabati miundombinu wakarabati watu wanawekaje nyanya chini  wapewe elimu ili wastaarabike huo ndo usafi” Amesema Irando.

Naye kaimu mkuu wa divisheni ya viwanda, biashara na uwekezaji Ernest Mhapa amesema dhumuni la kuanzisha baraza la biashara ngazi ya wilaya ni kukutanisha wafanyabiashara kutoka serikalini na sekta binafsi kujadiliana namna ya kuboresha mazingira ya biashara na namna ya kukuza uchumi kupitia sekta hiyo.

Naye Afisa msimamizi wa Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) upande wa kodi mkoa wa Kilimanjaro  Odupoi Papaa amesema serikali imefuta ushuru wa  vifungashio vya plastiki  kwa mazao ya mboga mboga na  maua na kuwataka wafanyabiashara kutumia vema fursa hiyo ili kukuza mitaji yao na uchumi wa taifa kwa ujumla.

Papaa amesema kuwa  eneo lingine lililofanyiwa marekebisho ni sheria ya magari ya kigeni (magari yanayobeba watalii)  ambapo mwanzoni yalikua yanatozwa dola 16 sawa na shilingi 37,312 kwa gari moja na sasa imeshushwa mpaka dola 10 sawa na shilingi 23,320 kwa gari moja ili magari yaweze kuingia kwa wingi.

Ameongeza kuwa kwa kufanyia marekebisho sheria hizo imeifanya nchi ya Tanzania kuendana na jumuiya nyingine kama Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) katika uingizaji wa mapato ya nchi.

“sheria ya kodi ya mapato mfano wanaofanya biashara za mtandao muuzaji na mnunuzi wanauwezo wa kufanya biashara kwa njia ya mtandao kwa kuhakikisha mfanyabiashara analipa kodi bila hata kuwa na ofisi maalumu bali mtandao lakini kwa kufuata taratibu na sheria” Amesema Papaa

Akizungumzia suala la vizimba vya soko la walaji kwenye uzinduzi huo, Mtendaji mkuu wa mamlaka ya mji mdogo Hai Zefania Gunda amesema  hatua inayofuata kwenye swala la vizimba vilivyojengwa ni ukarabati ambao utawezesha bidhaa za wafanyabiashara hao kuonekana vizuri na pia kutawekwa mkondo wa kutolea maji taka ambayo yanatokana na bidhaa zikiwa zimenyeshewa katika hali ya kuhifadhi kwake.

Ameongeza kuwa elimu itaendelea kutolewa ili kufanya wafanyabiashara wafanye kazi zao vizuri na katika mazingira ya usafi kuanzia mpangilio wa maeneo ya stendi ndani ya bomang’ombe hadi maeneo ya sokoni.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai