• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Awataka Wafugaji Kupewa Elimu Ya Matumizi Bora Ya Ardhi

Imetumwa: January 12th, 2023

Mkuu wa wilaya ya Hai Juma Irando ameiagiza ya halmashauri ya wilaya ya Hai kuitisha kikao na wafugaji mara kwa mara kwa lengo la kuwapatia elimu ya mpango wa matumizi bora ya ardhi kati ya wafugaji hao na wakulima hali itakayosaidia kuondoa migogoro isiyokuwa na tija baina yao.

Irando ametoa agizo hilo alipozungumza na wananchi wa wilaya hiyo January 12, 2023 kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Sanya Station kilichopo kata ya Kia ambapo alimtaka mkurugenzi na mwenyekiti wa halmashauri hiyo kuhakikisha vikao hivyo vinafanyika mara mara.

“Mkurugenzi pamoja na mwenyekiti wako wa halmashauri pamoja na viongozi wako, itisha kikao na wafugaji kila wakati muwe mnaitisha mikutano na wafugaji, ongeeni nao mjue changamoto zao waelekezeni wapeni elimu na namna nzuri ya kufuga lakini pia viongozi wote kuanzia ngazi ya kijiji, kata na kuendelea, tambueni mifugo yote iliyopo hapa katika wilaya yetu”

“Tunasema hivyo kwa sababu mipango bora ya matumizi ya ardhi haijafatwa, kwahiyo kaeni na viongozi hawa na wananchi mjadili pamoja na wakulima na wafugaji kuwa wapi kuwe na njia wapi kuwe na malisho wapi ni sehemu pekee ya kulima tu na wafugaji wasipitishe mifugo yao, sehemu ambayo tunasema ni ya wakulima tuache wakulima walime na sehemu ambayo ni ya malisho mkulima nae asiende kulima pale”

Aidha Irando amekemea tabia ya baadhi ya wafugaji kukaribisha mifugo kutoka sehemu mbalimbali kwa ajili ya malisho huku akiwataka watendaji, wenyeviti wa vijiji na vitongoji kuhakikisha wanadhibiti mifugo inayokaribishwa na baadhi ya watu wasiokuwa waamunifu hali inayosababisha usumbufu kwa wakulima ikiwa ni pamoja na kuharibu mashamba.

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo Dionis Myinga ametaka watendaji wa kata na vijiji kuhakikisha kuwa wananchi wanasomewa mapato na matumizi ya fedha wanazochanga kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo na kuwe na uwazi pamoja na ushirikishwaji kwani fedha ambazo wananchi wanachanga zinatakiwa zikafanye kazi iliyokusudiwa.

Kwa upande wake makamo wa mwenyekiti wa halmashauri hiyo Swalehe Swai amewataka wananchi wa wilaya hiyo kuwa na utaratibu wa kuhudhuria kwa wingi mikutano ya hadhara inayoitishwa na viongozi kwani katika mikutano hutumika kujadili masuala mbalimbali ya maendeleo ikiwa ni pamoja na kutatuliwa kwa kero zao.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU NA MHUDUMU WA JIKONI June 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Ujenzi Wa Bweni La Shule Ya Machame Kukamilika Kabla Ya June 19

    May 29, 2025
  • Vijana Wasauriwa Kutumia Fursa

    May 27, 2025
  • Wafanyabiashara Wa St Stend Wasikilizwa

    May 22, 2025
  • Wafanyabiashara Wa Send Wasikilizwa

    May 22, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai