• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Awataka Wakandarasi Kukamilisha Miradi Kwa Wakati

Imetumwa: December 29th, 2022

SERIKALI Wilayani Hai mkoani Kilimanjaro imewataka wakandarasi wa barabara kufanya  kazi kwa weledi  na kukamilisha ujenzi kwa wakati kwa mujibu wa mkataba  baina yao na Serikali ili thamani  ya fedha  iweze kuonekana

Mkuu wa Wilaya ya Hai ,Juma Irando  alitoa Agizo  wakati wa ziara yake ya kukagua miradi ya matengenezo ya barabara  kwa mwaka fedha  2022/2023 inayosimamiwa na wakala wa barabara za Mijini na Vijijini  (TARURA)ngazi ya wilaya  hiyo.


Alisema wakandarasi wanawajibu mkubwa wa kutekeleza  miradi kwa kiwango kinachostahili na kukamilisha kwa wakati  ili jamii iweze kupata huduma  stahiki na kuondokana na adha za miundo mbinu  mibovu ya barabara .


Awali akitoa taarifa  ya utekelezaji wa TARURA wilayani Hai,Kaimu  Meneja  Mhandisi Musa Sumbwe alisema kwa mwaka wa 2022/2023 wanatekeleza mikataba sita ya matengenezo ya barabara  yenye thamani ya zaidi ya Shilingi  bilioni 4.8.


Sumbwe alisema kati ya miradi  hiyo upo mradi  wa matengenezo wa barabara  kwa kiwango cha lami ya Makoa Darajani- TaCRI-Mferejini unaotarajiwa kutumia zaidi ya bil 2.9 ambao  unatekelezwa na Serikali  kupitia fedha za maendeleo za tozo ya mafuta


Alifafanua kuwa kwa sasa kazi inayoendelea ni kupasua miamba ambapo ujenzi wa barabara  hiyo unatekelezwa na mkandarasi Builders and Limeworks Ltd unaotarajiwa  kukamilika April  25 mwaka 2024.

Matangazo

  • KUITWA KAZINI January 23, 2023
  • TANGAZO LA KAZI, MKUSANYA MAPATO NA MTEKNOLOJIA MSAIDIZI DAWA January 24, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA January 25, 2023
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KITAIFA KIDATO CHA PILI MWAKA 2021 January 15, 2022
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Boma Hai FM Yapongezwa

    January 20, 2023
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Awataka Wafugaji Kupewa Elimu Ya Matumizi Bora Ya Ardhi

    January 12, 2023
  • Viongozi Wa Vijiji Watakiwa Kushiriki Kutunza Vyanzo Vya Maji

    January 11, 2023
  • Wajibikeni Kwa Wananchi -Mkuu Wa Wilaya Ya Hai

    January 10, 2023
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 27 Hai

    Simu: 0272758441

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai