• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mkuu Wa Wilaya ya Hai Hassan Bomboko Amesema Fedha Zipo,Ataka Miradi Kukamilika Kwa Wakati

Imetumwa: March 20th, 2025



Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mhe. Hasan Bomboko, amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi mitatu ya maendeleo wilayani humo na kusisitiza kuwa hakuna changamoto ya kifedha, hivyo utekelezaji unapaswa kufanyika haraka

Miradi aliyotembelea ni Shule ya Sekondari Saasisha, Shule ya Wasichana Machame Girls, na Shule ya Sekondari Lemera, ambapo zaidi ya shilingi bilioni moja zimetengwa kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya elimu katika shule hizo.



Katika hotuba yake, Mhe. Bomboko amewataka wakandarasi kuhakikisha wanakuwepo kwenye maeneo ya kazi na kuwa na nyaraka zote muhimu ili kuepusha ucheleweshaji wa miradi. "Fedha zipo, hatuna changamoto ya fedha. Mheshimiwa Rais ameleta fedha na zimeshawasili, sasa ni jukumu letu kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa wakati," alisisitiza.



Ameeleza kuwa changamoto kubwa kwa sasa si fedha, bali utekelezaji wa miradi katika baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Hai. Aliwataka viongozi wa idara husika kuhakikisha miradi inakamilika kwa mujibu wa mpango na viwango vilivyowekwa.



Aidha, Mhe. Bomboko amewaasa wananchi kuendelea kuilinda amani ya nchi, akisisitiza kuwa maendeleo hayawezi kupatikana bila utulivu. "Tuendelee kumuombea Mheshimiwa Rais na viongozi wetu wote kwa afya njema, kwani maendeleo hayawezi kuja bila amani," amesema.


Kwa upande wake, Katibu Tawala wa Wilaya ya Hai, Bwana Sospeter Magonera, ameeleza kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Hai inafanya juhudi kubwa katika kuhakikisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo unafanyika kwa ufanisi.


 Katibu Tawala amesema kuwa wakati mwingine halmashauri inalazimika kuwa na msisitizo mkubwa kwa wakandarasi na wasimamizi wa miradi ili kuhakikisha kazi inafanyika kwa haraka na kwa kiwango kinachohitajika.


Hii inatokana na matarajio makubwa yaliyowekwa na Mheshimiwa Rais, ambaye anataka watoto wa Kitanzania wote kupata elimu bora katika mazingira bora.


Hivyo, fedha nyingi zinazotolewa kwa miradi ya elimu ni kwa lengo la kuhakikisha kuwa watoto wanapata elimu ya kiwango cha juu, na kwa hiyo ni muhimu kuona miradi inakamilika kwa wakati na kwa viwango bora.



Ziara hii ni sehemu ya mkakati wa serikali wa kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa ufanisi na kwa wakati, huku wananchi wakipata huduma bora zinazostahili.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai