• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mkuu Wa Wilaya ya Hai Hassan Bomboko Azindua Wiki Ya Maji

Imetumwa: March 19th, 2025

*Bomboko azindua Wiki ya Maji kwa Kupanda Miti 500, Atoa Onyo kwa Wanaoharibu Vyanzo vya Maji*


Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mheshimiwa Hassan Mbomboko, amefanya uzinduzi wa Wiki ya Maji kwa kupanda miti zaidi ya 500 katika vyanzo vya maji, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhifadhi mazingira na kuhakikisha upatikanaji endelevu wa maji kwa wananchi.

Akizungumza katika hafla hiyo, Mheshimiwa Bomboko ameeleza kuwa lengo kuu la maadhimisho haya ni kulinda vyanzo vya maji kwa kuhakikisha upandaji wa miti unafanyika kwa wingi. Amesisitiza kuwa kila kaya inapaswa kupanda miti kumi ili kufanikisha mpango wa kupanda zaidi ya miti milioni tano ifikapo mwaka 2030.

"Kaulimbiu ya Wiki ya Maji inalenga kulinda vyanzo vya maji kwa ajili ya kizazi cha sasa na kijacho. Tumedhamiria kuhakikisha kuwa maji yanapatikana kwa kila mwananchi, kama ilivyoahidiwa kwenye ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020," amesema.



Mheshimiwa Mbomboko ameufafanua kuwa kupitia serikali ya Mh! Rais Samia Suluhu Hassan, wilaya ya Hai imepokea zaidi ya shilingi bilioni 10 kwa ajili ya miradi ya maji, ikiwa ni pamoja na ujenzi wa mabwawa na miundombinu ya kusambaza maji kwa vijiji 11 vinavyohudumiwa na Mamlaka ya Maji ya Bomang'ombe.



Katika hatua ya kuhakikisha vyanzo vya maji vinabaki salama, Mheshimiwa Mbomboko ameagiza kuwa kila ofisi ya mamlaka ya maji inapaswa kuwa na banda maalum la upandaji miti. Pia, ameutoa onyo kali kwa wale wanaofanya shughuli za kibinafsi zinazoathiri vyanzo vya maji, akiwataka kuondoka mara moja.



"Natoa wito kwa wananchi wote kuwa walinzi wa vyanzo vya maji. Wale wanaofanya shughuli za kilimo, ufugaji au biashara katika maeneo ya vyanzo vya maji wanapaswa kuondoka mara moja. Nimewapa siku saba kuhakikisha wameondoka katika maeneo hayo," amesema.



Mwisho, ameagiza viongozi wa vijiji na kata kuhakikisha maagizo hayo yanatekelezwa ili kuhifadhi vyanzo vya maji kwa kizazi cha sasa na kijacho.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai