• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mmomonyoko Wa Maadili Chanzo Cha Ukatili Katika Jamii

Imetumwa: December 10th, 2022

Ukosefu wa heshima, mmomonyoko wa maadili, mila na desturi kandamizi na kukosa hofu ya Mungu vimetajwa kuchochea vitendo vya ukatili katika jamii nyingi.

Akimwakilisha mkuu wa wilaya ya Hai kwenye kilele cha maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili, mkuu wa divisheni ya Mipango wiaya hiyo Said Abdallah amesema kuwa ni jukumu la kila mmoja kuchukua hatua kwa kupaza sauti kupinga vitendo vya ukatili ili kupunguza na hatimaye kutokomeza vitendo hivyo.

"Ni jukumu la kila mmoja kupaza sauti kupinga vitendo vya ukatili viavyotokea kwenye jamii hasa majumbani, kwenye taasisi mbalimbali,shuleni, kwenye usaafiri wa umma na sehemu ambazo si salama kwa wananchi"

"Matukio ya ukatili wa kijinsia bado yapo na yanatokea kwenye maeneo mbalimbali katika wilaya yetu ya Hai licha ya juhudi kubwa zinazofanywa na Serikali katika kukomesha vitendo hivyo vinavyofanywa na watu wasiokuwa na mapenzi mema na wanawake na watoto"

"Natoa rai kwa kila mwananchi, sote tukatae ukatili wa aina yoyote pamoja kutoa ushirikiano pale uaktili unapotokea ili mhanga apate usaidizi mapema hususani matibabu na msaada wa kisheria lakini pia msababishaji achukuliwe hatua za kisheria, kwani kufanya hivyo tutakuwa tumepunguza na kuondoa vitendo vya ukatili"

Kwa upande wake mkuu wa divisheni ya maendeleo ya jamii wilaya ya Hai Robert Mwanga akisoma risala kwa mgeni rasmi ameeleza kuwa licha ya changamoto, halmashauri ya Hai kwa kushirikiana na wadau katika kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia wamefanikiwa kuwajengea wananchi na jamii uelewa wa kupunguza vitendo vya ukatili wa kijinsia.

"Elimu ya mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia katika ngazi ya vitongoji na kata imetolewa kwa njia ya mabango, vikao shuleni, na kwenye vyombo vya habari ikiwemo Redio Boma Hai fm"

Aidha ameeleza kuwa katika kutoa Elimu ya kupinga ukatili, jumla ya watu 17,461 wamefikiwa kwa njia mbalimbali ikiwemo shule za msingi, shule za Sekondari, mikutano ya vijiji na Redio Boma Hai fm.

Maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili yakiongozwa na kauli mbiu isemayo "Kila Uhai una thamani, tokomeza mauaji na ukatili kwa Wanawake na Watoto" yamehitimishwa Disemba 10 katika eneo la Kwasadala na kuhudhuriwa na wananchi, taasisi za kupinga ukatili na viongozi mbalimbali akiwemo diwani wa kata ya Masama kusini Cedrick Pangani.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai