• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mwenge Wa Uhuru Umezindua Barabara Yenye Thamani Ya Zaidi Ya Shilingi Milioni 300

Imetumwa: July 4th, 2025

Mwenge wa Uhuru umeweka jiwe la msingi katika ujenzi wa barabara ya Shabaha yenye urefu wa kilomita 0.59 na inayojengwa kwa kiwango cha lami katika Kata ya Muungano, Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro mradi huu umegharimu zaidi ya shilingi milioni 300.

Barabara hiyo inatarajiwa kuboresha huduma za usafiri na usafirishaji kwa wakazi wa kata ya Muungano na maeneo jirani, huku ikichochea shughuli za kiuchumi na kijamii kwa wakazi wa eneo hilo.

Aidha, ujenzi huo ni sehemu ya mikakati ya serikali ya kuimarisha miundombinu vijijini na mijini ili kuchochea maendeleo endelevu.

Akizungumza wakati  wa uwekaji wa jiwe la msingi katika mradi huo  kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2025  Ismail Ali Ussi amesema ujenzi wa barabara hiyo ni  jitihada za serikali na kwamba ni mradi wa kimkakati  inayoendelea kutekelezwa kote nchini.


"Mwenge wa Uhuru umefika hapa kujionea mradi huu wa kimkakati,na Leo hii wapo wengi ambao hawakutarajia barabara hii kujengwa Kwa kiwango cha lami  lakini hayo yamewezekana kupitia serikali ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan"Amesema Ismail Ussi.


Wananchi wa Hai wameonyesha furaha yao kwa ujio wa Mwenge wa Uhuru na kuahidi kuendelea kushirikiana na serikali katika kuendeleza na kulinda miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU NA MHUDUMU WA JIKONI June 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Mwenge Umezindua Miradi Yenye Thamani Ya Shilingi Milioni 900 Katika Hospitali Ya Wilaya Ya Hai

    July 04, 2025
  • Mwenge Umezindua Miradi Yenye Thamani Ya Shilingi Milioni 900 Katika Hospitali Ya Wilaya Ya Hai

    July 04, 2025
  • Mwenge Umezindua Miradi Yenye Thamani Ya Shilingi Milioni 900 Katika Hospitali Ya Wilaya Ya Hai

    July 04, 2025
  • Mwenge Umeweka Jiwe La Msingi Ujenzi Wa Kituo Cha Afya Kata Ya Kia

    July 04, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai