• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mwenge wa Uhuru Wapongeza Matumizi ya TEHAMA Wilaya ya Hai

Imetumwa: June 17th, 2021

Mbio Maalumu za Mwenge wa Uhuru mwaka 2021 umekimbizwa katika wilaya ya Hai tarehe 09 Juni 2021 ukiwa na kauli mbiu ya TEHAMA ni Msingi wa Taifa Endelevu; Itumie kwa Usahihi na Uwajibikaji.

Ukiwa katika Wilaya ya Hai; Mwenge wa Uhuru umepitia miradi 7 yenye thamani ya shilingi 2,801,039,118.50 ambapo mradi mmoja ukiwekewa mawe ya msingi, miradi 4 imetembelewa na kukaguliwa maendeleo yake na mmoja kuzinduliwa.

Utekelezaji wa miradi hii umachangiwa na Serikali kuu shilingi 2,268,294,853.50 huku wahisani wakichangia shilingi 440,018,765 huku halmashauri ya wilaya ya Hai ikiweka shilingi 34,000,000 na nguvu ya wananchi ikifikia shilingi 54,725,500.

Pamoja na miradi hiyo; Mwenge wa Uhuru umetembelea na kukagua mradi wa kuboresha shughuli za utangazaji katika kituo cha Redio Boma Hai inayomilikiwa na halmashauri hiyo.

Akizungumza  na wananchi kupitia redio; kiongozi wa Mbio za Mwenge Luteni Josephine Mwambashi ameipongeza Wilaya ya Hai kwa kusimamia kwa vitendo kauli mbiu ya Mwenge kwa kutumia redio hiyo kama chombo cha kuboresha maisha ya wananchi.

Awali akisoma taarifa ya uboreshaji wa urushaji wa matangazo ya redi Boma Hai; Mratibu wa redio hiyo Riziki Lesuya amesema uboreshaji huo ni matokea ya ushirikiano wa karibu kati ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO).

Amesema UNESCO imeipatia redio hiyo vifaa vya Studio ya Matangazo (Broadcasting Studio), Studio ya Kuandalia Vipindi (Production Studio) na vifaa vya kurushia matangazo (Transmission Equipment) ambavyo vitaimarisha shughuli za utangazaji na kufanya redio isikike kwenye eneo kubwa na kuwafikia wasikilizaji wengi zaidi.

Mwenge wa Uhuru Maalumu walikimbizwa na kukesha katika Wilaya ya Hai na hatimaye kukabidhiwa katika Wilaya ya Siha kuendelea na safari ya kusambaza nuru kwenye wilaya zote za Tanzania kuimarisha umoja wa kitaifa, upendo na uwajibikaji lakini zaidi kuimarisha maendeleo ya wananchi kwa miradi mbalimbali.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai