• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

NEC Yawatoa hofu Wananchi Zoezi la Uandikishaji Wapiga Kura

Imetumwa: April 18th, 2020

Zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili limeanza leo Ijumaa April 17 2020 kwa Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha,  Manyara, Tanga, Mara, SImiu,Mwanza, Shinyanga,Geita, Kagera,Kigoma na Tabora na linategemewa kufanyika kwa siku tatu hadi Jumapili April 19 2020.

Mkurugenzi Msaidizi wa elimu kwa Umma kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Rose Malo ameimbia Radio Boma Hai Fm iliyopo Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi inatekeleza takwa la kisheria linalowataka kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura mara mbili katika kila uchaguzi mkuu na kuwa tayari awamu ya kwanza ilishafanyika mwaka jana  na hivi sasa ni awamu ya pili inayoelekea katika uchaguzi mkuu mwezi Octobar mwaka huu.

Amesema kuwa zoezi hilo linahusisha kuwaandikisha wapiga kura wapya waliotimiza umri wa mika 18 au watakao timiza umri huo hadi Mwezi Octoba na pia kuboresha taarifa za wapiga kura ikiwa ni pamoja na wale ambao kadi zao zimeharibika, kupotea ama kuhama kutoka eneo moja kwenda jingine.

Pia amesema kuwa kutokana na uwepo wa Janga la Virusi vya Corona tume hiyo imeweka tahadhari zote katika vituo vyote vya kujiandikisha na kwamba kwa awamu hii uandikishaji unafanyika ndani ya kata na kila kata itakuwa na kituo kimoja kilichoteuliwa ambacho kitakuwa na vifaa vya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona ikiwa ni pamoja na ndoo za maji na sabuni za kunawia mikono, vitakasa mikono na barako huku kukiwa na maelekezo ya wananchi kukaa kwa kupeana nafasi na kuzuia msongamano.

Aidha amewataka wananchi ambao wanatakiwa kushiriki zoezi hilo kufika vituoni na kuondoa hofu ya kupata maambukizi ya virusi hivyo kwani Tume ya Taifa ya Uchaguzi imehakikisha kuwa vituo vyote vimekidhi matakwa ya kiafya ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa huo.

Uchaguzi Mkuu utafanyika mwezi Octoba mwaka huu ukihusiha kuchagua wawakilishi wa wananchi kwa ngazi ya Madiwani, Wabunge na Rais ikiwa ni jambo la muhimu katika nchi inayosimamia misingi ya demokrasia ambayo viongozi wake hupatikana kwa kuchaguliwa na kudumu madarakani kwa kipindi cha miaka mitano kwenye muhula mmoja.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai