• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Rais Magufuli Aendelea Kuungwa Mkono Wilayani Hai

Imetumwa: September 6th, 2018

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Yohana Sintoo amepokea barua za wenyeviti 20 wa vijiji na vitongoji waliojiuzulu nafasi zao kutoka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi.

Akizungumza ofisini kwake mapema leo, Sintoo amesema amepokea barua hizo 20 zilizoandikwa na wenyeviti hao kila mmoja akimtaarifu uamuzi aliouchukua wa kuachia nafasi zao kwenye cha hicho.

“Asubuhi ya leo hii nimepokea barua 20 za waheshimiwa wenyeviti wa vijiji na vitongoji ambao wameniandikia kuhusu kujiudhulu nafasi zao za uenyekiti huku wakihama kutoka chama cha CHADEMA na kwenda CCM. ” Amesema Sintoo.

Kwa upande wake Nasoro Mushi aliyekuwa Mwenyekiti wa Kijiji cha Wari Sinde ambaye pia alikuwa Katibu Mwenezi wa CHADEMA Wilaya ya Hai amebainisha kuwa amefanya uamuzi huo kwa ridhaa yake baada ya kuona kazi nzuri inayofanywa na Serikali ya CCM.

 “Mimi kuhama chama cha siasa ni swala la kawaida, halikuanzia kwangu wala halitaishia kwangu kwani ni haki ya kikatiba kwa mwananchi kuchagua chama anachokiunga mkono”. Amesisita Mushi.

Naye Menyekiti wa Kijiji cha Kyuu Moses Munuo amesema ameamua kuhamia CCM kwa sababu serikali iliyopo madarakani inafanya kazi yake vizuri kuwatumikia wananchi.

“Kazi kubwa ya upinzani ni kupinga mambo wanayofanyiwa wananchi bila wenyewe kufurahi; mimi binafsi nimeona juhudi za Rais John Magufuli za kunyoosha yale yote tuliyokuwa tunayasema majukwaani ambayo sasa hatuna haja tena kwani yanatekelezwa vizuri” Amesisitiza.

Akithibitisha azma yake Godfrey Kivuyo aliyekuwa mwenyekiti wa kitongoji cha Jiweni na Makamu Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Bomang’ombe amesema kuwa kazi ya uongozi ni kuwatumikia wananchi na kuwaletea maendeleo kitu anachoamini atakifanikisha vizuri akiwa ndani ya CCM.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai