• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

SACCOS Zatakiwa Kuwa Waadilifu Katika Utekelezaji Wa Majukumu Yao

Imetumwa: October 29th, 2022

Viongozi wa chama cha ushirika wa akiba na mikopo cha walimu wilaya ya Hai na Siha (H.T. SACCOS)  wametakiwa kuwa wawazi  na waadilifu katika uendeshaji wa chombo hicho kama katiba inavyoelekeza ili kuepuka migogoro baina yao na wanachama.

Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Hai Dionis Myinga ambaye alikuwa mgeni rasmi wakati wa mkutano wa ishirini na mbili (22) wa chama uliofanyika katika viwanja vya ofisi ya chama hicho.

“migogoro mingi huanzia kwenye fedha kwa kutokuwa waadilifu na wawazi katika uendeshaji wa shughuli za chama,katiba iheshimiwe, kutokusoma taarifa za mara kwa mara na ninyi wanachama lazima muwe wawazi katika uendeshaji wa shughuli zote na muwe waadilifu”Alisema Myinga

Myinga amewataka wanachama  wanaodaiwa wajitahidi kulipa madeni yao ili Saccos iweze kuendelea  kujiendesha yenyewe na wanachama wanaodaiwa kujitahidi kulipa madeni hayo kwa wakati ili kuepuka kutetereka kwa chama hicho.

“wanachama mnaodaiwa mjitahidi kulipa madeni yenu ili saccos yetu iweze kusonga mbele , hapa mlipo mpo mbali nawapongezeni sana ila lazima tujitahidi kufanya vizuri zaidi tusibweteke tukarudi nyuma”Alisema Myinga

Kwa upande wake mwenyekiti wa Saccos Baraka Owenya amewataka wanachama kukuza tabia ya kujiwekea akiba mara kwa mara , kukopa kwa busara na kulipa kwa wakati , na kuwataka wanachama kuendelea kuhamasisha watu wengine kujiunga na chama hicho

“bodi inawashukuru kwa dhati wanacahama wote wanaoonesha uzalendo mkubwa kwa chama na kuhamasisha watu kujiunga na chama chetu , pili napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru watendaji wote wa chama kwa kujitahidi kusimamia chama chetu kwa uaminifu na kupelekea chama kuendelea kutengeneza faida”

“pia nawashukuru wadau mbalimbali, mkurugenzi mtendaji wa wilaya ya hai, na mrajisi wa vyama vya ushirika nchini , mrajisi msaidizi wa mkoa wa Kilimanjaro, maafisa ushirika hai na siha , maafisa elimu msingi na sekondari , chama cha walimu, shirikisho la vyams vya akiba na mikopo, saccos rafiki kwa ushirikiano wenu mkubwa katika kufanikisha shughuli za chama chetu”alisema Owenya

Naye mwenyekiti mstaafu wa chama hicho John Lengai amewataka wanachama kushirikiana ,kushikamana na kuwaamini viongozi ili Saccos iweze kusonga mbele

Mkutano huo wa ishirini na mbili(22) wa chama cha ushirika wa akiba na mikopo (saccos ) cha walimu wilaya ya Hai na Siha umeambatana na ugawaji wa vyeti kwa wanachama pamoja na upitishaji wa ajenda zote zilizojadiliwa.

Chama cha ushirika wa akiba na mikopo cha waalimu wa wilaya ya Hai na Siha kilisajiliwa mwaka 1993 na kuanza kufanya kazi mwaka 2001 kikiwa na wanachama 20  na mpaka kufikia mwaka huu wa 2022 kina wanachama 1407.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai