• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Serikali Kumaliza Tatizo la Umeme Zahanati ya Ntakuja

Imetumwa: September 7th, 2019

Baada ya kuwepo kwa kero ya muda mrefu oya kutokuunganishwa kwa umeme katika zahanati ya kijiji cha Ntakuja kata ya Kia wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro mkuu wa wilaya hiyo Lengai Ole sabaya amemuagiza meneja wa Tanesco wilayani hapo kuhakikisha zahanati hiyo inapata umeme mpaka ifikapo tarehe 11 septemba mwaka huu.

Sabaya ametoa agizo hilo leo Ijumaa 6.9.2019 wakati alipofanya ziara ya kikazi kijijini hapo ambapo walijitokeza wananchi waliotoa kero zao mbalimbali na kudai kuwa kukosekana kwa umeme na maji katika zahanati hiyo kunawafanya kukosa huduma muhimu za kiafya kwa wakati hali inayosababisha kutembea umbali mrefu kufuata huduma sehemu nyingine.

Mmoja wawananchi hao Mariamu athuman amesema "Kilio changu kikubwa ni kwamba zahanati yetu hatuna maji karibu akina mama wanakuja kujifungua,  maji ni yakuchota visima vya jirani kwa hiyo mama zetu wanapata shida sana, mh Dc kwa hilo naomba utusaidie" Amesema.

Kuhusu kukosekana kwa maji ndani ya zahanati hiyo, sabaya amemtaka mwenyekiti pamoja na afisa mtendaji wa kijiji hicho cha Ntakuja kuhakikisha inapata maji huku akitoa kibali cha kuchangisha fedha kutoka kwa wananchi kijijini hapo zitakazo saidia kukamilisha zoezi hilo endapo italazimu kufanya hivyo.

Amesema "Hili jambo la maji namuelekeza mwenyekiti wa kijiji na afisa mtendaji simamia hili,na kibali cha kupata hiyo paipu kama mnachangisha nimekitoa hapahapa,kwahyo atakama mtaanza kuchangisha leo kibali nimeshakitoa chini ya mwenyekiti nunueni paipu pelekeni maji kwenye zahanati"amesema Sabaya.

Aidha amemuagiza mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Wilaya kuandika barua kwenda kwa uongozi wa Uwanja wa ndege wa KIA kwa niaba ya wananchi  kuwaomba kwenda kufanya ukarabati katika zahanati hiyo kutokana na miundombinu yake kuwa chakavu.

Kwa upande wao baadhi ya wananchi wa kijiji hicho  Bw. Daudi Moleli na Tauba Shabani wakizungumza baada ya Mkutano huo wameeleza kufurahishwa na ziara ya mkuu huyo wa wilaya kijijini hapo na kwamba imekuwa na manufaa makubwa kwa wananchi wote wanaoishi kijijini hapo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai