• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Serikali Kutumia Bilioni 11 Kufufua Kiwanda cha Kutengeneza Mashine

Imetumwa: June 1st, 2019

MKUU wa wilaya ya Hai, Mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya ameiomba wizara  ya viwanda na biashara kukipatia kiwanda cha Kilimanjaro machine tools Manufacturs Company Limited kiasi cha shilingi bilioni 11 kwa ajili ya kukifufua kiwanda hicho  kilichokuwa kikitengeneza mashine za aina mbalimbali hapa nchini

Ole Sabaya  ametoa ombi hilo kwa wa Waziri wa Wizara hiyo Joseph Kakunda alipotembelea kiwanda hicho kwa ajili ya kujionea shughuli mbalimbali za uzalishaji zinazofanywa na kiwanda hicho kilichopo kata ya Mnadani wilayani Hai

Alisema endapo wizara hiyo itakipatia kiasi cha fedha zilizotajwa zitasadia kuboresha miundombinu yake na kuweza kuzalisha mashine za aina mbalimbali ambazo zitasaidia kuongeza idadi ya viwanda vidogo na vikubwa pamoja na kuongeza ajira hapa nchini

“Mheshimiwa waziri kiwanda hiki kilikuwa tegemeo kwa uzalishaji wa mashine za aina mbalimbali lakini kutokana na uchakavu wa miundombinu wa umechangia kushindwa kufikia malengo yake ya kuzalisha mashine za kutosha kuhudumia jamii na kuinua uchumi wa nchini”

“Tena mheshimiwa waziri endapo kiwanda hiki kitaboreshwa katika miundombinu yake itaweza pia kutengeneza vipuri vya mashine za useremala, kusaga na kukoboa nafaka pamoja vifaa zitakavyotumika katika mashine za aina mbalimbalia ”alisema Ole Sabaya

Kwa upande wake, Maneja wa kiwanda hicho, Mhandisi Adriano Nyaluke alisema kuwa endapo miundombinu ya kiwanda hicho itaboreshwa  itawezesha kuwapatia ajira zaidi ya elfu kumi kote nchini kutokana na kuzalisha na kutengeneza mashine zitakazoanzisha viwanda vidogo vidogo hapa nchini.

Mhandisi Nyaluke amesema wanalenga kupanua wingo wa bidhaa zitakazozalishwa na KMTC zitakazotumika katika sekta ya kilimo, usindikaji wa mazao na kuyaongeza thamani , mashine za kuwasaidia wachimbaji wadogo wadogo wa madini pamoja na mitambo ya kupasulia mbao

“Mheshimiwa waziri ili kuweza kukamilisha uzalishaji wa mashine mbalimbali kiwandani hapa kuna umuhimu wa ziada wa uzalishaji unaohitajika ikiwemo kuongeza mashine za kukunja na kupinda mabati yenye unene wa mm 6 pamoja na mtambo wa gesi wa kukatia vyuma vinene ”

“Pia mheshimiwa waziri ukarabati mkubwa unahitajika kwenye mfumo wa umeme wa kiwanda kwa kubadilisha nyaya zilizochakaa , vifaa vya uthibiti wa umeme na mafuta ya transformer na kubadili vifaa vya uthibiti wa umeme sehemu inayopokea umeme wa TANESCO”amesisitiza maneja huyo.

Akizungumza mara baada ya kutembelea kiwanda hicho Waziri Kakunda amesema serikali itakipatia kiwanda hicho kiasi cha fedha walichohitaji ili kuboresha miundombinu ya kiwanda hicho ambayo itasaidia kuongeza  kuzalisha na kusambaza mashine ambazo zitasaidia kuongeza ajira kwa watanzania

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai