• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Serikali Wilayani Hai Yamaliza Mgogoro wa Ardhi Uliodumu Muda Mrefu

Imetumwa: September 13th, 2019

Mkuu wa wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro Lengai Ole Sabaya amefanikiwa kurejesha kwa wananchi wa vijiji vinne Shamba la Fofo lenye ukubwa wa ekari 46.6, lililopo katika kijiji cha Narumu kata ya Machame Narumu lililokuwa na mgogoro kati ya Piter Karanti na wanakijiji hao.

Sabaya amechukua hatua hiyo leo katika mkutano na wananchi wa kijiji hicho uliofanyika kijijini hapo baada ya kuwepo kwa mgogoro uliodumu kwa muda mrefu kati ya wananchi hao na bwana Piter Karanti pamoja na wenzake 48 ambao walijimilikisha shamba hilo kinyume na taratibu.


Amefikia maamuzi hayo baada ya kusikiliza pande zote mbili na kujiridhisha huku akisema kuwa kw mujibu wa hati ya msajili shamba hilo ni mali ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania hivyo hawana haki juu ya umiliki na amewataka wananchi hao 48 waliokuwa wamejimilikisha shamba hilo kuhakikisha ndani ya siku saba wanaboma nyumba walizozijenga ndani ya shamba hilo na kwamba kuanzia sasa ni mali ya wananchi wa vijiji hivyo.


Amesema "Kwa mujibu wa ofa, hati ya msajili ni mali ya Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, lile shamba serikali imefanya majaribio maalumu ya kuwakabidhi vijiji hivi vinne,orori usari,Tela na mlama, lakini kwa mara zote kikundi hiki, kimejitahidi ukimbia mahakamani ili kuwazuia wananchi hawa kupata haki zao, kama mtu amejenga nyumba yakudumu maana yake huyo amejitaftia matatizo mwenyewe".


" Kwa maana hiyo Piter na wenzake kwa miaka hiyo yote wamekuwa wakipora haki ya wananchi, Mh. Rais amekuwa akielekeza kwamba hii ni mali ya wananchi wote, kikundi cha watu wachache kisichukue na kujimilikilisha mali ya watu wote, sasa leo natangaza ni mali ya wananchi wa vijiji hivi, Jambo la pili ninaelekeza kama kuna ujenzi wowote umeendelezwa pale shambani nemdeni kabomoeni nyumba zenu wenyewe ndani ya siku saba, kumbe kuna ushahidi wamejipatia shamba hili kwa idanganyifu" Amesma Sabaya.


Aidha amemwagiza Mkuu wa polisi wilayani Hai kuwashikilia Mwenyekiti wa kijiji na wenzake watatu ambao wamekuwa wakihusika na jambo hilo huku akimtaka mwanasheria wa serikali wilayani hapo kuwaandikia barua uongozi wa bank ya CRDB kutaka kujua utaratibu uliotumika kuwamilikisha watu hao shamba hilo.


Imeelezwa kuwa chanzo cha mgogoro huo ambao ulianza mwaka 1977 ni kuibuka kundi  la Bw.Piter na wenzake 48 kukabidhiwa shamba hilo na Bank ya CRDB baada ya kulipa deni la zaidi Tsh.laki moja lililokuwa likidaiwa na bank hiyo kwa Dr. Anthony Phones ambae alikuwa akimiliki shamba hilo licha yachama cha ushirika Narumu Manushi kushinda tenda iliyotangazwa na bank ya CRDB,lakini wakashindwa kulipa deni hilo hali iliyoilazimi bank hiyo kuwakabidhi shamba hilo Piter na wenzake 48.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai