• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Serikali Yajivunia Mabadiliko Yanayoendelea Nchini

Imetumwa: December 9th, 2018

Serikali inajivunia mafanikio yanayotokana na mageuzi katika sekta ya madini yaliyopatikana ndani miaka mitatu ya mwanzo ya serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli.

Akizungumza na wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro na maeneo jirani kupitia kituo cha redio Boma Hai mapema leo Jumapili 09/12/2018 Msemaji Mkuu wa Serikali amesema kuwa serikali imefanya mageuzi makubwa kwenye sekta ya madini.

Dkt. Abbas amebainisha kuwa sekta nzima ya madini nchini imeongeza makusanyo kutoka chini ya shilingi Bilioni 190 na hadi kufikia mwezi Julai 2018 mapato yamefikia shilingi billioni 301 ikiwa ni ishara ya kuongezeka kwa kiasi kikubwa mapato ya serikali ambayo ndiyo yanatumika kuwapatia wananchi huduma za elimu bila malipo na maboresho kwenye huduma mbalimbali.

Akilinganisha hali ilivyokuwa kabla ya marekebisho yaliyofanyika, Dkt. Abbas anasema kuwa mapato ya serikali kutokana na madini yalikuwa kati ya shilingi milioni 71 – 74 kwa mwaka, kwenye machimbo ya Tanzanite ambayo miezi 8 baada ya kujengwa ukuta unaodhibiti utoroshaji wa madini na kuongeza uwazi katika upatikanaji wa mapato ya serikali.

“Mererani wamepewa lengo la kukusanya shilingi billion 1.5 ambayo kwa muda wa miezi 5 hadi kufikia mwezi Novemba tayari wamefanikiwa kukusanta shilingi millioni 800 ikiwa ni zaidi ya nusu ya lengo.” Amesisitiza Dkt. Abbas.

Kwa upande wa dhahabu ya mkoani Geita, nchi ilikuwa inapoteza mapato kwenye kusafisha dhahabu ambapo mwanzo shughuli hizo zilifanyika Mwanza na hakuna aliyejua kilichopatikana.

“Serikali iliagiza kuwa mashine zote za kusafisha dhahabu ziwekwe ndani ya mkoa husika na hadi sasa zipo mashine zaidi ya 20 zinazosafisha dhahabu kukiwa na uangaliazi wa maafisa wa serikali na kufanikiwa kuongeza dhahabu kutoka kilo 70 – 160 kwa mwezi na kuongeza mapato ya serikali kwenye dhahabu kutoka millioni 400 kwa mwezi hadi zaidi ya shilingi million 900.” Ameongeza.

Aidha, Dkt. Abbas amewataka wananchi kuendelea kuiamini serikali yao na kuiunga mkono hasa wakati huu wa kutekeleza miradi mikubwa itakayobadilisha kwa kiasi kikubwa maisha ya jamii nzima ya Tanzania kwani kwa kuongeza mapato ya serikali kunaipa nguvu katika kutoa huduma bora kwa wananchi wake.

Akizungumzia maendeleo ya kufikia uchumi wa kati kwa kuwa na viwanda, Dkt. Abbas amesema kuwa hadi sasa matokeo chanya yanazidi kuonekana kwani wapo wanaonufaika na viwanda kwa kupata ajira moja kwa moja lakini pia wapo wale wanaonufaika kwa uwepo wa viwanda kwenye maeneo yao.

“takribani watanzania 26,000 wameajiriwa moja kwa moja kwenye viwanda na zaidi ya wananchi 100,000 wameweza kuanzisha biashara na kujiajiri kwa sababu ya viwanda vilivyopo” Ameongeza.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai