• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Serikali Yakabidhi Eneo kwa Mjane Aliyedhulumiwa Ardhi

Imetumwa: June 12th, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli ameagiza kupatiwa eneo la ardhi Bibi Hawa Shila mkazi wa Kijiji cha Kimashuku Kata ya Mnadani wilayani Hai ili apate eneo la makazi na kufanya shughuli za kilimo .

Akitoa maelekezo ya Rais kwenye mkutano wa Kijiji hicho; Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya amesema kuwa Bibi Shila amemwandikia barua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuomba usaidizi wakuzuia kuhamishwa eneo ambalo ameishi kwa zaidi ya miaka 40 au kupatiwa eneo la makazi na kilimo ili aweze kujikimu na kuendesha maisha yake.

“Mheshimiwa Rais ameona barua yako na amenielekeza kuhakikisha kuwa unapata haki yako. Leo nimekuletea barua ya kukupa eneo la kufanya shughuli za kilimo na eneo la makazi”

Bibi Hawa Shila alifikia uamuzi wa kumwandikia barua Rais magufuli baada ya kuhamishwa kwenye eneo la mnadani lililopo kata ya Mnadani wilayani Hai ambapo ameishi kwa zaidi ya miaka 40 huku akidaiwa ameishi eneo hilo kinyume na taratibu.

“Walinifukuza nikawauliza sasa wanangu niende wapi wakasema sijui mama, eneo hilo nimemzika mume wangu na mdogo wangu hapohapo; nimezalia watoto wangu hapohapo na nimepata wajukuu hapo, basi wakaanza kunipiga vita sasa.”

Bi.Shila amemshukuru Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya kwa kumsaidia kupata eneo hilo na zaidi akimwombea Baraka na maisha marefu Rais John Magufuli.

Baada ya maelekezo hayo Sabaya amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Hai Yohana Sintoo akishirikiana na Afisa Ardhi wilaya kusimamia umiliki wa eneo la Bibi Shila kwa kumpatia ofa na hati pamoja na kutengeneza ramani na miundombinu inayofaa kwa kuzingatia mipaka ya eneo hilo.

Eneo la ekari moja ambalo amekabidhiwa Bi.Shila linatokana na ekari tisa zilizokuwa za serikali zilizopo Kijiji cha Kimashuku Kata ya Mnadani ambazo zimegawiwa kwa kijiji hicho  leo June 12, 2020 kwa ajili ya kujenga soko, zahanati na kufanya shughuli za maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai