• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Serikali Yatoa Mwongozo Mpya Kwa Wanafunzi Bweni

Imetumwa: January 20th, 2023

Serikali kupitia wizara ya elimu imetangaza utaratibu mpya kuwa wanafunzi watakaolala katika shule za bweni utaanzia darasa la tano na kuendelea na kufuta utaratibu wa awali ulikuwa ukiruhusu watoto chini ya darasa la tano kulala katika shule za bweni kufuatia mmomonyoko wa maadili unaosababishwa na utandawazi.

Akizungumza na waratibu elimu kata kwenye kikao kilichofanyika Januari 20, 2023 katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Hai, mdhibiti ubora wa shule wilaya hiyo ameeleza kuwa wizara ya elimu imetangaza mabadiliko kwa mujibu wa sera, taratibu na kanuni za miongozo.

“kuna wanafunzi wanalala kwenye shule za bweni kuanzia darasa la awali, mwanzo ilikuwa inaruhusiwa lakini kutokana na mambo yalivyokuwa mabaya mabaya sasaivi, utandawazi wizara imebadilisha kwamba wanafunzi kulala bweni ni kuanzia darasa la tano na siyo vinginevyo”

“lakini pia kuna baadhi ya shule za Sekondari ambazo ambazo shule zikifungwa zinawanyima wanafunzi kwenda likizo mpaka krismasi wanalia kule shuleni, wanapikiwa pilau safi, wanafunzi wanafurahi lakini watoto wanatakiwa wapumzike, tunazitaka hizo shule tupewe majina yao na tunazifahamu”

Pia amegusia suala la wanafunzi kubebeshwa mabegi mazito yenye madaftari makubwa (counter book) hali inayopelekea watoto kulemewa hadi kuota kibiongo hivyo ametumia nafasi hiyo kuwaelekeza walimu pamoja na wazazi kuhakikisha kuwa watoto wanabeba mabegi yenye madaftari madogo yasiyowaelemea.

Mkuu wa divisheni ya elimu sekondari wilaya ya Hai Julius Mduma amewataka waratibu elimu kata waliosaini mikataba hiyo kwenda kuisimamia ipasavyo ikiwa ni pamoja na kuhakikisha miongozo ya elimu iliyomo katika mikataba hiyo na inakataza baadhi ya mambo ikiwemo katazo la watoto wadogo kulala bweni, inatekelezwa na shule zote bila kukiukwa.

Afisa tawala wilaya ya Hai Mary Mnyawi, akimwakilisha mkuu wa wilaya hiyo Juma Irando, ameeleza kuwa kwa sasa serikali imeamua kufanya mabadiliko makubwa katika sekta ya elimu hivyo kuwataka watendaji waliopo katika sekta hiyo kuwajibika kikamilifu ili kuendana na mabadiliko hayo hali itakayosaidia kuleta matokeo chanya.

Mkuu wa idara ya utumishi wilaya ya Hai Suzan Nyanda amewataka waratibu wa elimu kata kuhakikisha kuwa kila mtumishi (mwalimu) anaishi karibu na eneo lake la kazi na kuacha kukimbilia kuishi mjini ambapo ni mbali na eneo la kazi lengo likiwa ni kuongeza ufanisi katika utendaji wa kazi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai