• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Shule Ya Msingi Mafeto Yapokea Zaidi Ya Shilingi Milioni 101 Kwa Ajili Ya Ujenzi Madarasa

Imetumwa: July 17th, 2025

Wananchi wa kijiji cha Mbosho kata ya Masama Kati wilaya ya Hai wamepokea fedha za mradi wa BOOST shilingi 101,082,832.00 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa katika shule ya msingi mafeto.

Akizungumza Katika kikao hicho cha utambulisho wa mradi huo Jafari Zaidi ambae ni Kaimu Mkuu wa Idara ya Elimu Ms na Awali Wilaya ya Hai amewataka wananchi hao kuulinda mradi huo dhidi ya wizi wa vifaa vya ujenzi.

Naye Mkuu wa Idara ya Mendeleo ya Jamii wilaya ya Hai Robert Mwanga amewataka vijana wa eneo hilo kutumia fursa ya Ujenzi huo kufanya kazi ili kujiongezea kipato.


Nae Mtendaji wa kijiji hicho Happy Piter Titto ameishukuru serikali ya awamu ya sita ya Mh Rais Samia Suluhu Hasan kwa kuwapelekea fedha hizo za mradi wa BOOST ambazo zitasaidia maboresho makubwa katika shule yao ya msingi Mafeto.


Nae Mwananchi wa ķijiji hicho Agness Salimu Kweka ameishukuru Serikali na kuomba ukarabati na ujenzi huo uendelee katika shule zingine.


Akijibu hilo Mkuu wa Idara ya Elimu Msingi na Awali Jafari Zaidi amesema Serikali kwa mwezi Julai 2025 pekee imetoa 1,553,665,664.00 kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa Shule za Msingi wilayani Hai.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MUDA UCHAGUZI MKUU July 06, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU NA MHUDUMU WA JIKONI June 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Wananchi Watakiwa Kushiriki Katika Ujenzi Wa Miradi

    July 17, 2025
  • Shule Ya Msingi Mafeto Yapokea Zaidi Ya Shilingi Milioni 101 Kwa Ajili Ya Ujenzi Madarasa

    July 17, 2025
  • Kuku 300 Wapatiwa Chanjo

    July 16, 2025
  • Hai imepokea Zaidi ya Bilinion 1.5 Ujenzi wa Miundo mbinu ya shule

    July 10, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai