• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Shule ya Sekondari Harambee yapongezwa kwa kufanya Vizuri

Imetumwa: May 6th, 2019

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Hai Elia Sintoo ameipongeza shule ya sekondari Harambee kwa matokeo mazuri waliyoyapata wanafunzi wa kidato cha sita katika shule hiyo ikiwa ni pamoja na kushika nafasi ya tano katika mkoa wa Kilimanjaro kwa matokeo ya mtihani wa Mock.

Akizungumza ofisini kwake  wakati wa kuwatunuku zawadi  wanafunzi waliofanya vizuri, Sintoo amessema kuwa matokeo hayo yameitia moyo halmashauri yake na kama wasimamizi wakuu na hivyo kuamua kuwapongeza kwa kuwapa kiasi cha fedha taslimu shilingi elfu hamsini  na kusema kuwa matamanio ni kuona shule hiyo ikifanya vizuri katika matokeo ya mtihani wa mwisho wa kidato cha sita.

Aidha pia amebainisha kuwa kwa nafasi iliyoshika shule hiyo halmashauri yake inatarajia kuona shule hiyo ikiwa kinara katika nchi kwenye viwango vya ufaulu na kuwataka waalimu na wanafunzi kuendelea kushirikiana ili kuinua kiwango cha ufaulu.

Kwa upande wao wanafunzi walioongoza katika nafasi ya kwanza hadi ya tatu ambao ni Jcline Verande Ahirikyamuu, Lilian James Sichula pamoja na Magreth Godwin Nyamwela  wamemshukuru Mkurugenzi mtendaji kwa kuamua kuwapa motisha ya zawadi kwani itasaidia kuwapa hari ya kusonga mbele huku wakieleza kuwa chanzo cha mafanikio hayo ni nidhamu na utii kwa waalimu pamoja na viongozi wao.

Naye mkuu wa shule hiyo Mwalimu Florence Thomas Muhochi amewaomba waalimu na wakuu wa shule nyingine kuzibadili changamoto kuwa fursa na kuzitumia ipasavyo mbali na kuishia kulalamika huku pia akiahidi shule yake kuitoa halmashauri kimasomaso katika matokeo ya kidato cha sita.

Ikumbukwe kuwa shule ya Harambee ilianzishwa mwaka 2003 kwa nguvu za wananchi wa kata ya machame kaskazini kwa kidato cha kwanza hadi cha nne na badae mwaka 2017 ikapata kibali cha kuanzisha kidato cha tano na sita

Katika matokeo ya mtihani wa Mock kwa mwaka huu shule ya Harambee haikuwa na waliofeli (division zero) wala daraja la nne (division four) ambapo kwa mwaka huu itatoa wanafunzi wa kidato cha sita kwa mara ya kwanza na idadi yao ikiwa ni wanafunzi 51.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai