• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Shule Za Msingi Wilayani Hai Zaendelea Kunufaika na Boost

Imetumwa: July 22nd, 2025

Wananchi wa Kata za Masama Rundugai na Machame Mashariki wametakiwa kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa miradi ya BOOST iliyotambulishwa  na halmashauri ya wilaya ya Hai ili kuhakikisha miradi hiyo inaleta matokeo chanya kwa jamii.

Kauli hiyo imetolewa Julai 21, 2025  na kaimu Afisa Elimu Msingi wa wilaya ya Hai Jafari Zaidi wakati wa utambulisho rasmi wa miradi hiyo kwa wananchi wa kata husika.

Zaidi amesema serikali tayari imetoa shilingi milioni 63.6 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi katika Shule ya Msingi Rundugai, ambapo kutajengwa madarasa mawili ya elimu maalum pamoja na matundu sita ya vyoo na kwamba shule ya msingi Nkweshoo imepatiwa zaidi ya shilingi milioni 100 kwa ajili ya ukarabati.


“Leo tumetambulisha miradi ya BOOST ambapo awali tulipokea bilioni 1.5 lakini kwa siku ya leo tumetambulisha shule mbili ambapo shule moja ni shule ya msingi Rundugai wao wamepokea jumla ya shilingi milioni 63 na laki sita,kwa ajili ya ujenzi wa madarasa mawili ya elimu maalum na matundu sita ya vyoo,lakini pia tumetambulisha mradi mwingine katika shule ya msingi Nkweshoo wao wamepokea milioni 100 na 1 kwa lengo la kufanya ukarabati wa shule nzima, tumezungumza na wananchi tumewasihi wajitolee nguvu kazi na wamekubali”Amesema Jafar Zaidi.


Kwa upande wake kaimu afisa mazingira wa wilaya ya Hai  Lightness Urassa, amezitaka kamati zitakazosimamia miradi hiyo kuzingatia   utunzaji wa mazingira wakati wote wa utekelezaji wa miradi ili kuepusha athari zinazoweza kuwapata wanafunzi na jamii kwa ujumla.


“Ningependa kuzungumzia kuhusu zile zana tutakazo zitumia katika ujenzi wetu,najua kutakuwa na vibao bao,kutakuwa na misumari na mifuko ya saruji,hawa malaika wanaweza wakawa rafiki wa vile vitu kwani watapenda wavichezee,wao wanapenda michezo lakini ni hatarishi kwao kwa hiyo ninaomba sana zana hizi zisichafue mazingira”Amesema Urassa.


Wananchi waliojitokeza kwa ajili ya kupokea miradi hiyo wameishukuru  serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za miradi hiyo, huku wakiahidi kushiriki kikamilifu kwa kutoa mchango wa nguvu kazi hadi miradi ikamilike.


Kwa ujumla, halmashauri ya  wilaya ya Hai imetambulisha jumla ya miradi 13 chini ya mpango wa BOOST, ambayo inakadiriwa kugharimu zaidi ya shilingi bilioni moja, ikiwa ni sehemu ya juhudi za serikali kuboresha miundombinu ya elimu nchini.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MUDA UCHAGUZI MKUU July 06, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU NA MHUDUMU WA JIKONI June 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Za Msingi Wilayani Hai Zaendelea Kunufaika na Boost

    July 22, 2025
  • Wananchi Watakiwa Kushiriki Katika Ujenzi Wa Miradi

    July 17, 2025
  • Shule Ya Msingi Mafeto Yapokea Zaidi Ya Shilingi Milioni 101 Kwa Ajili Ya Ujenzi Madarasa

    July 17, 2025
  • Kuku 300 Wapatiwa Chanjo

    July 16, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai