• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Skimu ya Umwagiliaji iliyogharimu zaidi ya Mil 900 yaathiriwa na Mafuriko.

Imetumwa: April 25th, 2021


Mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe ametembelea maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko wilayani Hai ikiwa ni pamoja na kutoa mkono wa pole kwa Wananchi walioathiriwa na mafuriko hayo.

Mapema hii Leo Saashisha alitembelea kata ya Weruweru kujionea athari za mafuriko hayo huku pia akiwaomba wananchi kuwa watulivu wakati serikali ikiendelea na taratibu za kulishughulikia tatizo hilo.

Saashisha amesema kuwa baada ya kutembelea eneo hilo amebaini kuwa wizara ya kilimo kupitia Waziri wake Prof Adolf Mkenda (Mb) inapaswa kufika katika kata hiyo ambayo kwa asilimia zaidi ya 78 wananchi wake wanategemea kilimo ambapo kwa sasa Skimu kubwa ya umwagiliaji iliyopo katika kata hiyo iliharibiwa na mafuriko.

"Nimuombe waziri wa kilimo Prof. Mkenda kwa kushirikiana na wataalamu wa wizara yake waje Hai wajionee, Skimu hii iliigharimu serikali kiasi cha zaidi ya  shilingi Milion 900 na ni uwekezaji mkubwa mno."

"Kata hii ya Weruweru inategemea sana kilimo cha umwagiliaji, kama juhudi za makusudi hazitachukuliwa tutasababisha maafa mengine zaidi." Alisema Saashisha.

Mbali na uharibifu wa Skimu hiyo ya umwagiliaji wapo wananchi walioachwa bila makazi baada ya nyumba zao kubomolewa na maji ambapo mbunge Saashisha alitoa mkono wa pole kwa kuwapatia vitu mbalimbali vya kujikimu ikiwemo Unga, Sukari na Magodoro ambapo pia taratibu nyingine za kushughulikia majanga ya maafa chini ya kamati ya maafa wilaya zikiwa zinaendelea.

Mbali na kata hiyo ya weruweru, pia athari hizo za mafuriko ziliikumba kata ya Masama Mashariki baada ya mto Namwi kufurika na kuleta uharibifu mkubwa ikiwemo kuharibu nyumba na mashamba.

Ikumbukwe kuwa mafuriko hayo yalitokea usiku wa kuamkia tarehe 22 mwezi April ambapo pia wananchi watatu wa kata hiyo hawajulikani walipo licha ya ghari wapilokuwa wakisafiria kukutwa limezama ndani ya Mto Namwi na kuchukua zaidi ya siku moja kulinasua katika eneo hilo.

Hii leo pia ulipatikana mwili mmoja huku wananchi wa kata hiyo wakiaswa kwenda kuutambua kubaini kama ni miongoni mwa vijana hao huku baadhi ya wananchi wakisikika wakisema kuwa kwa ziaid ya miaka 40 hawajawahi kushughudia tukio kama hilo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai