• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

TAMISEMI Yapongeza Juhudi za Kuboresha Maisha Wilaya ya Hai

Imetumwa: January 8th, 2020

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwita Waitara amewataka watumishi na viongozi katika Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro kuendelea kufanya kazi kwa bidii na kuimarisha maendeleo ya wananchi kama inavyoelekezwa na Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi inayosimamia serikali.

Akizungumza kwenye mkutano na watumishi wa wilaya hiyo, Naibu Waziri Waitara amesema kuwa Wizara ya TAMISEMI inaunga mkono juhudi zinazochukuliwa na viongozi hususan Mkuu wa Wilaya hiyo Lengai Ole Sabaya zikiwa na juhudi za kuboresha maisha ya wakazi wa wilaya.

“Endeleeni kutafuta haki za wananchi waliodhulumiwa; wale walioguswa wakija kwetu tutaangalia kama mmewaonea, lakini kama mmesimamia haki sisi kama TAMISEMI tutawaunga mkono”. Amesema.

Aidha amewashauri viongozi na watumishi kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia sheria na taratibu husika bila kupendelea wala kumuonea mtu yeyote.

Awali akitoa tathmini ya kazi, Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya amemweleza Naibu Waziri wa TAMISEMI kuwa wilaya inaendelea kutatua changamoto za wananchi kwenye masuala ya ardhi, ushirika na aina nyingine za madhila ikiwemo kuondoa matabaka miongoni mwa wananchi.

Naye Mganga Mkuu wa Wilaya ya Hai Dkt. Irene Haule amesema kwa kushirikiana na vyama vya ushirika wilaya imeanza ujenzi wa kituo cha afya kwenye Kijiji cha Longoi kitakachohudumia wakazi wa kata za Masama Rundugai, Weruweru na Mnadani zenye Zaidi ya wakazi 30,000 kikitoa huduma zote za kawaida na dharura.

Kwa nyakati tofauti baadhi ya wananchi wameonesha kufurahia wazo la kupata kituo cha afya kwenye maeneo yao ambacho kitawapunguzia adha ya kwenda umbali mrefu kupata huduma huku wakiahidi kuwa tayari kushirikiana na serikali kwa kuchangia nguvukazi ili kukamilisha ujenzi wa kituo hicho.

Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Mwita Waitara amefanya ziara ya kikazi ya siku moja kwenye wilaya ya Hai ambapo amepata wasaa wa kuzungumza na watumishi wa Wilaya hiyo wakiwemo wakuu wa shule za sekondari, waratibu wa elimu ngazi ya kata, watendaji wa vijiji na kata pamoja na wakuu wa idara na vitengo pamoja na watumishi wa makao makuu ya halmashauri.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai