• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

TASAF Yapiga Msasa Wawezeshaji Wilaya ya Hai

Imetumwa: August 10th, 2021

Serikali katika Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro imewataka watumishi walioaminiwa kushiriki kazi za TASAF wilayani humo kufanya kazi kwa uadilifu ili kufanikisha lengo la mfuko huo katika kuondoa umasikini kwenye jamii.

Akiongea wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha watendaji wa Awamu ya Pili ya Mpango wa Kunusuru kaya masikini katika ukumbi wa halmashauri ya Wilaya ya Hai mapema leo 10/08/2021, Mkuu wa Wilaya hiyo Juma Irando amewataka watendaji hao kuwa wavumilivu na mabalozi wazuri wa mfuko huo.

Irando amewaasa wanasiasa kuepuka kujiingiza katika mchakato wa kuwapata walengwa kwa kuingiza watu wasiostahili kwa vigezo vya upendeleo bali wawasaidie wataalamu kusimamia miongozo iliyowekwa kuwatambua walengwa.

“Vigezo na masharti vizingatiwe katika kutekeleza kazi za TASAF Kipindi cha Awamu ya Tatu. Tusiweke siasa na upendeleo”. Amesema Irando.

Aidha Irando amewataka watendaji kutumia muda kutoa elimu sahihi kwa wananchi kwani kwa uelewa sahihi jamii itapunguza manung’uniko yasiyo ya lazima.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Hai Wang’uba Maganda amewataka watendaji kuwa waaminifu katika majukumu wanayokwenda kutekeleza.

Maganda ameongeza kusema kuwa iwapo watendaji wakitekeleza wajibu wao vizuri ndipo sehemu ya Ilani ya Chama cha Mapinduzi inayohusu kuimarisha wananchi kiuchumi itakuwa imetekelezwa.

Naye Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Swalehe Swai ameshukuru utaratibu wa kuwashirikisha madiwani katika masuala ya TASAF kwani wao ndiyo wanaokaa na watu kwenye jamii hivyo ni rahisi kutambua wananchi wa maeneo yao.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Dionis Myinga ametumia kikao hicho kujitambulisha kwa watumishi na viongozi waliokuwepo kwani ni mara yake ya kwanza kushiriki matukio ya kijamii tangu alipokabidhiwa ofisi tarehe 09/08/2021.

Amewaomba watumishi na viongozi kumpa ushirikiano katika kutekeleza majukumu yaliyo mbele yake na zaidi katika kuwaletea maendeleo wananchi wa Wilaya ya Hai.

Kikao kazi hiki kilichoongozwa na Caroline Kimaro Afisa Ufuatiliaji anayemwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF kinafanyika kwa siku moja ili kuwaandaa watumishi watakaofanya kazi ya kuwezesha shughuli za TASAF katika Wilaya ya Hai.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai