• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Ubakaji, Ulawiti na Mimba za utotoni; Havitamwacha Mtu Salama Wilaya ya Hai

Imetumwa: January 28th, 2020


Serikali katika Wilaya ya Hai yazindua mpango maalumu wa kuimarisha ulinzi wa mtoto dhidi ya vitendo vya ukatili na unyanyasaji ikiwemo mimba za utotoni, ubakaji na ulawiti.

Akizungumza kwenye uzinduzi wa kampeni ya kumlinda mtoto; Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya amesema kuwa ofisi yake pamoja na ofizi zilizo chini yake zina jukumu la kuhakikisha kuwa mtoto anakuwa salama; uzinduzi ambao ulitanguliwa na maandamano ya Amani kutoka ofisi za halmashauri ya Wilaya ya Hai hadi kwenye viwanja vya Snow view yaliyoongozwa na bendi ya Polisi na kuhudhuriwa na wanafunzi wa shule za msingi na sekondari, walimu, wazazi.

“Watumishi wote wa Serikali wana kazi ya kwanza ya kuwalinda watoto dhidi yetu sisi ‘wanaume’ tunaowaka tamaa ambao kila sketi ikipita mbele yetu tunaona ni haki yetu”

Akizungumza kuhusu kampeni ya kumlinda mtoto; Sabaya ameiagiza kamati kamati ya ulinzi wa mtoto kuhakikisha kuwa elimu kuhusu ulinzi wa mtoto inamfikia kila mwananchi katika wilaya ili pale hatua zitakapochukuliwa kuwe na uelewa wa pamoja.

“Mimi ndio niliwapa kazi hii kwa niaba ya Serikali ya Wilaya ya Hai, sasa leo nawaongezea kazi. Nawatafutia shilingi milioni 10 ili mwende kwenye shule zote za wilaya hii mkawapatie elimu hii” Aliongeza Sabaya.

Aidha Sabaya ameviagiza vyombo vya dola ikiwemo TAKUKURU kuwakamata wale wote watakaohusika na mashauri ya usuluhishi inapotokea mtoto amepewa ujauzito na kwamba wote watakaohusika na usuluhishi wajumuishwe kwenye kesi ya ubakaji ili kuondokana na tabia ya jamii kumaliza kirafiki kesi za unyanyasaji kwa watoto,

Kwa upande wake Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi wa mtoto ya wilaya ambaye pia ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Hai Upendo Wella ameahidi kuzihuisha kamati za ulinzi wa mtoto ngazi ya kata na vijiji ili kuimarisha ulinzi wa mtoto katika wilaya ya Hai.

Naye Mganga Mkuu wa Wilaya Irine Haule ametaja madhara yanayopatikana kwa mtoto kushiriki ngono akiwa kwenye umri mdogo kuwa ni pamoja na maambukizi ya magonjwa, uharibifu kwenye mfumo wa uzazi na kuitaka jamii kuepusha watoto na vitendo vya ngono.

Akiwageukia wazazi kama sehemu kuu ya ulinzi wa mtoto Afisa Ustawi wa Jamii Helga Simon amewataka wazazi kuonesha upendo kwa watoto wao ikiwa ni pamoja na kuwapa nafasi ya kuwasikiliza ili kufahamu maendeleo yao lakini pia kusikia changamoto wanazokutana nazo na Zaidi kuwazoesha watoto kujieleza wanapokutana na changamoto kwani watoto wakikosa upendo nyumbani watautafuta mitaani kwa watu wasio sahihi hivyo kuingia matatani.

Mkuu wa Wilaya aliamua kuunda kamati hii maalumu kwa lengo la kupambana na aina zote za ukatili kwa watoto baada ya kuona kiwango cha matukio ya ukatili na unyanyasaji kwa watoto yanaongezeka ikiwemo mimba za utotoni zilizoongezeka kutoka 26 mwaka 2018 hadi 36 mwaka 2019 huku akiipa kazi kamati kutoa elimu kuhusu masuala ya ukatili na unyanyasaji ya watoto na aina zake lakini pia kushirikiana na wadau wote wanaohusika kuhakikisha kuwa mtu yeyote atakayepatikana na hatia ya kufanya ukatili au udahilishaji kwa mtoto anapatiwa adhabu stahiki.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai