• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Ushirikiano Wafanikisha Milioni 204 Kutolewa Halmashauri Ya Hai Kama Mkopo

Imetumwa: April 6th, 2023

USHIRIKIANO mzuri uliopo kati ya  madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro na watumishi katika  kusimamia  ukusanyaji wa mapato ya ndani umefanikisha kutolewa kwa wakati  mikopo kwa vikundi vya wanawake vijana watu wenye ulemavu.

Mkuu wa Wilaya ya Hai, Amiri Mkalipa ameyasema hayo wakati akikabidhi hundi ya shilingi milioni mia mbili na nne  kwa ajili ya kukopesha vikundi 27  vilivyokidhi vigezo vya kukopeshwa na Halmashauri kutokana na makusanyo ya mapato ya ndani.

“Niwapongezee sana madiwani wa halmashauri kwa ushirikiano wenu, leo tunaona matunda yake, mmefanya kazi kubwa sana ya kusimamia mapato hali ambayo kwa sasa tunaona kila robo ya mwaka vikundi vinanufaika na mikopo”

“Kazi mnayoifanya kila siku inaoneka na mnatekeleza ilani kwa vitendo kwa ufuatiliaji mnaofanya kila mara umesaidia kuimarisha na kuongeza mapato ya ndani na leo tumeoa vikundi 27 vinapatiwa mkopo kwa ajili ya kufanya shughuli za kujikwamua kiuchumi”alisisitiza mkuu wa Wilaya

Amesema mikopo hiyo isiyokuwa na riba inayotolewa na Serikali ya awamu ya sita lengo lake ni kuwainua wananchi kiuchumi  na kuondokana na hali ya utegemezi na badala yake kila mmoja aweze kuwa na mafanikio yake binafsi ambayo yataweza kusaidia kuondokana na umasikini.

Hata hivyo mkuu huyo wa wilaya amewataka wanufaika wa mkopo huo, kuhakikisha fedha walizozipata zinafanya kazi iliyokusudiwa na kuacha tabia za kubadilisha matumizi jambo ambalo linaweza kusababisha kupoteza fedha hizo.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai Edmund Rutaraka amewataka wanufaika wa mikopo hiyo kuhakikisha wanarejesha fedha hizo kwa wakati ili kuwezesha wananchi wengine wa wilaya hiyo kukopeshwa fedha hizo zisizokuwa na riba kwa lengo la kwenda kufanya shughuli za kujikwamua kiuchumi.

“Nachukua fursa hii kuwapongeza kwa kupata mikopo ambayo itakwenda kuwanufaisha ninyi pamoja na familia zenu, Mwenyezi Mungu awawezeshe mkatimize malengo na kurejesha kwa wakati ili wengine wakope”

Afisa maendeleo ya jamii wilaya hiyo Robert Mwanga amefafanua kuwa tangu mwezi Julai 2022 hadi Machi 2023 Halmashauri imefanikiwa kutoa mikopo yenye thamani ya shilingi milioni 346 kwa vikundi 31 ambapo vikundi 17 ni vya wanawake, vijana ni vikundi 12 na vikundi vya watu wenye ulemavu 02 huku watu binafsi 10 wenye ulemavu.

“Mheshimiwa mkuu wa Wilaya Halmashauri imeweza kuchangia kiasi chote kilichopaswa kuchangiwa kama inavyoelekezwa katika sheria ya fedha ya Serikali za mitaa ya mwaka 1982 na marekebisho yake ya mwaka 2012”

Amefafanua kuwa tangu mwezi Julai 2022 hadi Machi 2023 Halmashauri imefanikiwa kutoa mikopo yenye thamani ya shilingi 346,125,172 kwa vikundi 31 ambapo vikundi 17 ni vya wanawake, vijana ni vikundi 12 na vikundi vya watu wenye ulemavu 02 huku watu binafsi 10 wenye ulemavu .

Alieleza kuwa kati ya fedha hizo kiasi cha shilingi 132,481,172 zinatokana na asilimia kumi ya mapato ya ndani  na kiasi cha shilingi 213,644,650 zinatokana na marejesho ya vikundi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai