• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wadau Wasaidia Mapambano ya Corona Wilaya ya Hai

Imetumwa: June 2nd, 2020

Serikali katika Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro imewaelekeza wakuu wa shule zilizopokea wanafunzi wa Kidato cha Sita kusimamia taaluma na kuimarisha juhudi za kujikinga dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Corona.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya hiyo wakati wa kupokea msaada wa vifaa vya kunawia mikono; Katibu Tawala wilaya ya Hai Upendo Wella amesema Serikali imeamua kuwarudisha shuleni wanafunzi wa vyuo vikuu na kidato cha sita ili wajiandae na mtihani wao wa kumaliza elimu ya sekondari.

Amesema Serikali inamthamini kila mwanafunzi na mwalimu hivyo nao wasibweteke bali waendelee kuchukua tahadhari za kujikinga na maambukizi kama inavyoelekezwa na wataalamu wa afya.

“Tunaamini kuwa tukiendelea kuchukua tahadhari za kunawa mikono na kukaa kwenye umbali unaoelekezwa itafika siku ugonjwa huu utapotea” Amesisitiza.

“Ipo haja ya kuendelea kufuata taratibu hizo ili kutokomeza magonjwa mengine yanayotokana na uchafu. Wataalamu wa afya wanashuhudia kuwa idadi ya wagonjwa wa magonjwa mengine wanaofika hospitali kutibiwa imepungua sana” ameongeza Wella.

Akikabidhi msaada huo Mchungaji Mmisionari Julias Nkya wa makanisa ya Free Pentecostal yanayofanya kazi nchini Tanzania nan je ya nchi amesema wameona umuhimu wa kushirikiana na Serikali katika mapambano ya ugonjwa wa Corona.

Amesema kuwa kanisa lao linashiriki kwa kutoa elimu kwa jamii kuhusu namna ya kupambana na ugonjwa huu hususani katika kujikinga na maambukizi pamoja na kusaidia vifaa kama ndoo na sabuni kwa ajili ya kunawia mikono ambayo mpaka sasa ndio njia kuu ya kujikinga na maambukizi.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Yohana Sintoo amewashukuru wahisani hao kwa mdaasa walioleta lakini pia kwa namna wanavyotekeleza wajibu wa kuielimisha jamii katika kujikinga na ugonjwa wa Corona.

Aidha Mkurugenzi Sintoo ameelekeza baadhi ya vifaa hivyo kupelekwa kwenye shule za sekondari zenye wanafunzi wa Kidato cha Sita ili kusaidia wanafunzi kujikinga na ugonjwa huo.

Kanisa la Free Pentecostal Church of Tanzania kupitia mradi wa “Tuna Ndoto” wamekabidhi vifaa vya kunawia mikono ikiwemo ndoo na sabuni za kunawia mikono 100 zenye thamani ya shilingi millioni 2.

Matangazo

  • TANGAZO LA UKUSANYAJI NA UZOAJI TAKA HAI MJINI September 27, 2023
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA (PSLE) 2023 WILAYA YA HAI November 23, 2023
  • MAJINA YA WALIOITWA USAHILI NAFASI ZA JESHI WILAYA YA HAI September 06, 2023
  • TANGAZO LA UKUSANYAJI NA UZOAJI TAKA HAI MJINI September 27, 2023
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Mhe Kaijage Awataka Watumishi Kufanya Kazi Kwa Bidii

    November 22, 2023
  • Mkalipa Ataka Viongozi Wa Dini Kufundisha Waumini

    November 08, 2023
  • Wananchi wa Kijiji cha Sanya Station Washukuru Ulipwaji Wa Fidia

    October 25, 2023
  • Mkurugenzi Dionis Myinga Aishukuru Kambele Kwa Msaada Wa Sementi

    October 23, 2023
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 27 Hai

    Simu: 0272758441

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai