• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wafanyabiashara Wadogo Wilaya ya Hai Watakiwa Kuchukua Vitambulisho

Imetumwa: June 6th, 2020

Halmashauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro imetoa wiki moja kwa wajasiriamali wadogo wanaostahili kuwa na vitambulisho vinavyotolewa na Serikali kufanya hivyo ili kuwapa uhuru wa kufanya biashara zao.

Akizungumza na wafanyabiashara wa soko la Sadala, Mkurugenzi wa halmashauri hiyo Yohana Sintoo amewataka wafanyabiashara kuchangamkia fursa na kujipatia vitambulisho hivyo.

“Mimi kama Mkurugenzi wa Halmashauri na Msimamizi wa soko hili; nawapa siku saba kwa wafanyabiashara wadogo kuchukua vitambulisho. Baada ya muda huo hakuna mfanyabiashara atakayeruhusiwa kufanya biashara ya aina yoyote kwenye mipaka ya halmashauri yetu” Amesisitiza Sintoo.

Mkurugenzi Sintoo akiongozana na Wakuu wa Idara na Vitengo, Watendaji wa Kata na Vijiji wa halmashauri yake ametembelea maeneo ya masoko ikiwemo soko la Sadala kwa ajili ya kuwaelimisha na kuwahamasisha wafanyabiashara umuhimu wa kuwa na kitambulisho cha mjasiriamali mdogo.

“Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Magufuli ametoa vitambulisho hivi ili kuwaondolea wafanyabiashara wadogo adha ya kulipa ushuru kila wanapofanya biashara zao” ameongeza Sintoo.

Kwa upande mwingine Afisa Biashara wilaya ya Hai Ernest Mhapa amewataka wafanyabiashara kutambua kuwa vitambulisho walivyochukua mwaka jana vimekwisha muda wake hivyo wanatakiwa kuchukua vitambulisho vipya vya mwaka 2020.

Mhapa amesema kuwa utaratibu wa kupata vitambulisho hivi unasaidia wafanyabiashara wadogo kuingia kwenye kanzidata ya Serikali huku kila mfanyabiashara akitambulika kwa jina, picha na namba ya kitambulisho anachomiliki.

Zoezi la kugawa vitambulisho kwa wajasiriamali wadogo linaendelea nchi nzima kama lilivyoanzishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa lengo la kuwapunguzia wafanyabiashara wadogo idadi ya kodi wanazotakiwa kulipa. Vitambulisho hivi vinapatikana kwa Sh. 20,000 na kinatumika kwa muda wa mwaka mmoja.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai