• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wagombea 123 wapita bila kupingwa uchaguzi wa serikali za mitaa wilayani Hai

Imetumwa: November 5th, 2019



Jumla ya wagombea 123 wa Chama  cha mapinduzi CCM katika vitongoji na vijiji wanaoshiriki  wa serikali za mitaa wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro  wamepita bila kupingwa  baada ya wagombea wa vyama vya upinzani kushindwa kujitokeza kuchukua na kurejesha fomu za ugombea.

Taarifa hiyo imetolewa leo na msimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Bw.Juma Masatu. 

Masatu amesema kuwa baada ya kukamilika kwa zoezi la urejeshaji fomu kwa wagombea Novemba 4 mwaka huu ,wagombea wa upinzani katika vitongoji 294 baadhi yao hawakujitokeza kuchukua fomu na kupelekea wagombea 110 wa CCM katika vitongoji hivyo, kupita bila kupingwa huku katika vijiji 62 wagombea 13 CCM wakipita bila kupingwa kutokana na wagombea wa vyama vya upinzani kushindwa kuchukua fomu.

Aidha amesema kuwa hatua inayoendelea hivi sasa nikubandika majina ya wagombea wenye sifa na wasio na sifa ya kugombea kutoka kila chama cha siasa kwa vitongoji na vijiji vyote na majina hayo yatabandikwa kwenye mbao za ofisi za vijiji na kuwataka wananchi kujitokeza kwenda kuangalia  majina ya wenye sifa ya kugombea kwenye vijiji na vitongoji vyao ambapo itatoa fursa ya kuweka pingamizi kwa asiye nasifa.

Ameongeza kuwa Pingamizi linatakiwa kuwekwa na mgombea dhidi ya mgombea mwingine na mapingamizi hayo yanapokelewa ofisini kwa msimamimizi  wa uchaguzi Novemba 5 hadi Novemba 6 mwaka huu.

Kwa mujibu wa kanunu za uchaguzi wa viongozi  wa mamlaka za serikali za mitaa ngazi ya vijiji, vitongoji na mitaa za mwaka 2019 inaeleza kuwa mtu yoyote anaekusudia kugombea na fasi ya uenyekiti wa kijiji, ujumbe wa halmashauri ya kijiji au uenyekiti wa kitongoji atatakiwa kuchukua fomu ya uteuzi wa kugombea nafasi husika siku zisizo pungua 26 kabla ya siku ya uchaguzi kwa kadiri itakavyoelekezwa na msimamizi wa uchaguzi.

Uchaguzi huo wa serikali za mitaa unatarajiwa kufanyika kote nchini novemba 24 mwaka huu.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai