• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wajibikeni Kwa Wananchi -Mkuu Wa Wilaya Ya Hai

Imetumwa: January 10th, 2023

Viongozi wa kata na vijiji katika kata ya Masama Rundugai wametakiwa kuwajibika kwa wananchi ili kuepusha maswali na sintofahamu kwa wananchi hao.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa wilaya ya Hai Juma Said Irando January 10, 2023 alipokuwa akizungumza na wananchi wa kata hiyo katika  mkutano na wanachi hao lengo likiwa ni kusikiliza na kutatua kero za wananchi wa kata hiyo.

“Viongozi wa vijiji vya Rundugai watendaji embu jaribuni kuwajibika tunatakiwa kuwajibika  kwa wananchi hawa,Mwenyekiti hapa wewe ulichaguliwa na wananchi,Mh diwani wewe ulichaguliwa na wananchi embu tuwahudumie tufanye kazi yetu angalau kwa asilimia 70 yaani kama wote wangekuwa wanafanya vile inavyotakiwa aya maswali yasingekuwa mengi”

Aidha Irando amewataka wenyeviti wa vijiji  vitongoji kuwasomea wananchi mapato na matumizi kwani ni muhimu wananchi kujua ili kuepusha migogoro kati ya wananchi na viongozi.

“Itisheni mkutano na wasomeeni wananchi mapato na matumizi,katika vitu ambavyo vimekuwa changamoto kwa wenyeviti wengi ni kutowasomea wananchi mapato na matumizi hivyo hakikisheni mnafanya hivyo”

Kwa upande mwingine Irando amemuagiza Mtendaji wa Halmashauri kutenga sehemu kwa ajili ya wafugaji ili kuepusha migogoro ya wakulima na wafugaji huku akiwataka wafugaji kujifunza   nakuwa na  ushirikiano mzuri na wakulima na yeyote atakayekwenda tofauti sheria kali zitachukuliwa dhidi yake.

“Wafugaji wajifunze namna ya kuishi na wenzao wakulima haiwezekani kila wakati wafugaji tu,wao hawapo juu ya sheria wajifunze na wakiendelea kukaidi hatua kali zitachukuliwa dhidi yao”

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Dionis Myinga amesisitiza viongozi wa kata,vijiji na vitongoji kuwajibika zaidi kwani kuna mambo wangeweza yatatua wao bila kungoja viongozi wa wilaya kuja kuyatatua.

Diwani wa Kata ya Masama Rundugai Aziz Simbano amempongeza mkuu wa wilaya ya Hai na serikali inayoongozwa na Raisi Dr.Samia Suluh Hassani kwa miradi iliyoletwa kwenye kata yake na kuahidi kuipokea na kuisimamia miradi hiyo.

Matangazo

  • KUITWA KAZINI January 23, 2023
  • TANGAZO LA KAZI, MKUSANYA MAPATO NA MTEKNOLOJIA MSAIDIZI DAWA January 24, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA January 25, 2023
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KITAIFA KIDATO CHA PILI MWAKA 2021 January 15, 2022
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Boma Hai FM Yapongezwa

    January 20, 2023
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Awataka Wafugaji Kupewa Elimu Ya Matumizi Bora Ya Ardhi

    January 12, 2023
  • Viongozi Wa Vijiji Watakiwa Kushiriki Kutunza Vyanzo Vya Maji

    January 11, 2023
  • Wajibikeni Kwa Wananchi -Mkuu Wa Wilaya Ya Hai

    January 10, 2023
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 27 Hai

    Simu: 0272758441

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai