• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wajibikeni Kwa Wananchi -Mkuu Wa Wilaya Ya Hai

Imetumwa: January 10th, 2023

Viongozi wa kata na vijiji katika kata ya Masama Rundugai wametakiwa kuwajibika kwa wananchi ili kuepusha maswali na sintofahamu kwa wananchi hao.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa wilaya ya Hai Juma Said Irando January 10, 2023 alipokuwa akizungumza na wananchi wa kata hiyo katika  mkutano na wanachi hao lengo likiwa ni kusikiliza na kutatua kero za wananchi wa kata hiyo.

“Viongozi wa vijiji vya Rundugai watendaji embu jaribuni kuwajibika tunatakiwa kuwajibika  kwa wananchi hawa,Mwenyekiti hapa wewe ulichaguliwa na wananchi,Mh diwani wewe ulichaguliwa na wananchi embu tuwahudumie tufanye kazi yetu angalau kwa asilimia 70 yaani kama wote wangekuwa wanafanya vile inavyotakiwa aya maswali yasingekuwa mengi”

Aidha Irando amewataka wenyeviti wa vijiji  vitongoji kuwasomea wananchi mapato na matumizi kwani ni muhimu wananchi kujua ili kuepusha migogoro kati ya wananchi na viongozi.

“Itisheni mkutano na wasomeeni wananchi mapato na matumizi,katika vitu ambavyo vimekuwa changamoto kwa wenyeviti wengi ni kutowasomea wananchi mapato na matumizi hivyo hakikisheni mnafanya hivyo”

Kwa upande mwingine Irando amemuagiza Mtendaji wa Halmashauri kutenga sehemu kwa ajili ya wafugaji ili kuepusha migogoro ya wakulima na wafugaji huku akiwataka wafugaji kujifunza   nakuwa na  ushirikiano mzuri na wakulima na yeyote atakayekwenda tofauti sheria kali zitachukuliwa dhidi yake.

“Wafugaji wajifunze namna ya kuishi na wenzao wakulima haiwezekani kila wakati wafugaji tu,wao hawapo juu ya sheria wajifunze na wakiendelea kukaidi hatua kali zitachukuliwa dhidi yao”

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Dionis Myinga amesisitiza viongozi wa kata,vijiji na vitongoji kuwajibika zaidi kwani kuna mambo wangeweza yatatua wao bila kungoja viongozi wa wilaya kuja kuyatatua.

Diwani wa Kata ya Masama Rundugai Aziz Simbano amempongeza mkuu wa wilaya ya Hai na serikali inayoongozwa na Raisi Dr.Samia Suluh Hassani kwa miradi iliyoletwa kwenye kata yake na kuahidi kuipokea na kuisimamia miradi hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai