• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wakandarasi Watakiwa Kukamilisha Kazi kwa Wakati

Imetumwa: December 5th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya amewaagiza wakandarasi wanaofanya matengenezo kwenye barabara ya Bwani –Kyeeri kukamilisha kazi hiyo kwa wakati kulingana na mkataba waliopewa ambao unaonyesha kuwa kazi hiyo inapaswa kukamilika tarehe kumi na tano mwezi Machi mwaka 2019.

Sabaya ametoa agizo hilo wakati akizindua matengenezo ya barabara ya Bwani-Kyeeri inayoziunganisha kata za Machame Magharibi na Machame Uroki, tukio lililofanyika katika Kijiji cha Bwani kata ya Machame Uroki.

“Bila shaka umeshanisikia kiasi, ikipita maana yake ni mimi na wewe sawa sawa, ila ikikamilika ndani ya muda tutakupongeza” amesema Sabaya.

“Kampuni moja  inatuma zaidi ya shilingi milioni 145 na nyingnie inatumia zaidi ya shilingi 4000  hizi ni fedha kubwa na ni fedha za wananchi walipa kodi, Rais ameruhusu fedha hizi zitumike kwa kuwa kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi kuna maelekezo ya kujenga barabara kwa hiyo muhakikishe mnazitumia vizuri” alisisitiza Sabaya.

Kwa upande mwingine Sabaya amewataka wananchi wa kata hizo kutoa ushirikiaono kwa wakandarasi ili waweze kufanya kazi kwa urahisi huku akiwaagiza wakandarasi kufanya kazi hiyo kwa uangalifu bila ya kuwasumbua wananchi wakizingatia uaminifu.

Naye Menejea wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Wilaya ya Hai Mhandisi Charles Marwa amesema kwa mwaka 2018/2019 Serikali imetenga kiasi cha shilingi bilioni moja milioni mia tatu na mbili kwa ajili ya matengenezo ya barabara za Wilaya hiyo.

Ameongeza kuwa kwa mwaka huu wa fedha  km 2.5 zitatengenezwa kwa gharama ya shilingi milioni  44 kwenye barabara  ya Bwani- Kyeeri yenye jumla ya kilomita 9.7 yatakayozingatia  matengenezo ya sehemu korofi  na changarawe.

Amesema matengenezo hayo yatawasaidia wananchi kutatua  changamoto za usafiri zilizokuwa zinawakabili  hasa Bwani, Kyeeri, Uraa na vijiji vya jirani vya Uswaa kwa kuwa vijiji hivyo vimekuwa na changamoto ya muda mrefu ya barabara kutopitika hasa wakati wa mvua na kusababisha baadhi ya huduma muhimu za jamii kutowafikia wananchi kwa wakati.

Nao madiwani wa kata mbili zinazopitiwa na barabara hiyo; Martini Munisi wa Machame Magharibi na Robson Kimaro wa Machame Uroki kwa pamoja wamemshukuru  na kumpongeza Mkuu wa Wilaya pamoja na  Rais John Pombe Magufuli kwa hatua hiyo iliyolenga kuwasaidia wananchi.

“Wananchi wangu wa Kyeeri wameniambia tangu tupate uhuru kwa mara ya kwanza yamefanyika matengenezo ya kihistoria, matengenezo mazuri na yenye hadhi ambayo hayajawahi kufanyika” alisisitiza Munisi huku akiwataka wananchi hao kutunza barabara kwa kuheshimu sheria za barabarani.

Kwa mwaka wa fedha 2018/2019 katika awamu ya kwanza TARURA wilaya ya Hai inatarajia kutekeleza mikataba mitatu ya matengenezo ya barabara yenye thamani ya shilingi 605,109,971  ambayo itatekelezwa na wakandarasi  wawili ambao ni   NURE building and civil contractors na ATHU building and civil works Jv  advanced CO.LTD.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Ujenzi Wa Bweni La Shule Ya Machame Kukamilika Kabla Ya June 19

    May 29, 2025
  • Vijana Wasauriwa Kutumia Fursa

    May 27, 2025
  • Wafanyabiashara Wa St Stend Wasikilizwa

    May 22, 2025
  • Wafanyabiashara Wa Send Wasikilizwa

    May 22, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai