• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wakulima Waandaliwa Kukabili Mabadiliko Tabianchi

Imetumwa: September 5th, 2018

Serikali imeanza kuwaandaa wananchi kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi ili kuendelea kupata tija kwenye shughuli za kilimo, ufugaji na uvuvi.

Mkuu wa Kitengo cha Mazingira cha Wizara ya Kilimo Shakwanande Natai kinachoshughulikia uratibu wa hifadhi ya mazingira na uhimili wa mabadiliko ya tabiachi amesema mkakati wa serikali unalenga kuboresha uzalishaji

“Mabadiliko ya tabianchi yamesababisha ukame usioelezeka ambao unasababisha mazao hayafiki mwisho kuleta mavuno mazuri na kusababisha uzalishaji wa chakula kupungua ” Amesema Natai.

Amesema athari za mabadiliko ya tabianchi zinaongezeka na kusambaa kwenye maeneo mengi kiasi cha kuhatarisha upatikanaji wa chakula kutokana na umuhimu wa sekta zinazokubwa.

Natai ameendelea kusema kuwa sekta ya kilimo inategemewa kama nguzo muhimu ya uchumi nchini na inajumuisha uzalishaji wa mazao, mifugo na uvuvi na inachangia kutoa ajira kwa zaidi ya asilimia 65 ya watanzania.

Ameongeza kuwa sekta hiyo inachangia asilimia 95 ya mahitaji ya chakula kwa Taifa pamoja na kwamba ina mchango wa nusu  ya pato la Taifa .

Natai amebainisha kuwa serikali kwa kupitia Wizara ya Kilimo imeandaa mwongozo wa kilimo unaohimili mabadiliko ya tabianchi wa mwaka 2017 unaoainisha mbinu na teknolojia za kuwaongoza watunga sera na watoa maamuzi, maafisa ugani, wakulima, wafugaji na wavuvi ili kukabiliana na mabadiliko hayo.

“Wizara imetengeneza kijarida chenye taarifa za mbinu na teknolojia zinazohusiana na kilimo, mifugo na uvuvi kwa ajili ya kuwasaidia wakulima kuelewa na kutekeleza kazi zao kwa kutumia mwongozo”

“Tumefika Wilaya ya Hai kwa lengo la kusambaza mwongozo huu pamoja na kuwaelimisha wataalamu wa halmashauri wanaoshughulika na kilimo, mifugo na uvuvi ili waweze kuwasaidia wakulima kupambana na mabadiliko” Ameongeza Natai.

Naye Afisa Kilimo Wilaya ya Hai David Lekei amesema wamefarijika kupata mwongozo huo na kwamba wapo tayari kushirikiana na wakulima ili kuboresha upatikanaji wa chakula.

Kwa upande mwingine Afisa Habari wa Halmashauri Riziki Lesuya amesema atashirikiana na idara husika kuwafikishia wananchi taarifa za namna ya kukabiliana na athari za tabianchi kwa kutumia vyombo vya habari na aina mbalimbali za mawasiliano ili kila mwananchi apate tarifa sahihi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai