• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wanachi Waelekezwa Kula Chakula chenye Lishe kamili

Imetumwa: May 4th, 2023

Jamii imetakiwa  kuhakikisha kuwa inapata mlo kamili na kwa      wakati ili kuondoa    tatizo la udumavu kwa watoto sambamba na kuzuia ongezeko la magonjwa                yasiyoambukiza.

Wito huo umetolewa Mei 4,2023 na Afisa lishe wilayani Hai Bi. Silvania Kullaya katika kikao cha      Kamati ya Lishe cha robo ya tatu                 kilichofanyika wilani Hai kikiusisha pia wakuu mbalimbali wa Divisheni kikiwa na lengo la      kujadili shughuli mbalimbali       zilizofanyika katika idara ya lishe               mtambuka .

“Katika kikao hichi tumeweza kudadavua mambo mbali mbali na tumebaini      changamoto zilizojitokeza na tumetoa   suluhu ya changamoto hizo ili kuendelea kuboresha hali ya lishe ya wilaya yetu”.

Tumeweka mkazo zaidi na kusisitiza      mambo yote yanayohusiana na lishe yanazingatiwa katika shule zetu za msingi na sekondari hasa ulimaji wa mbogamboga na kuimarisha klabu za lishe mashuleni lakini pia kuhakikisha watoa huduma ya afya katika ngazi ya vijiji, kata na wilaya           kuendelea kutoa elimu ya afya katika ngazi zao ili elimu iifikie jamii nzima kwa urahisi zaidi”: Bi. Silvania

Bi. Silvania amesisitiza kuwa, ni vyema jamii ikafahamishwa kiundani kuhusu vyakula muhimu  ambavyo vitaimarisha afya na

kumkinga mwananchi dhidi ya magonjwa  yasiyokuwa ya kuambukiza tofauti na hali  ilivyo kwa hivi sasa ambapo watu wengi     hupenda kula vyakula vya kuchoma na vyenye mafuta mengi sambamba na kuwa na mtindo wa maisha usiofaa ambapo      baadae husababisha magonjwa kama       kisukari, presha, kansa na mengine              yakufanana na hayo hayo.

Ameendelea kwa kusema kua, tatizo la lishe linaanzia katika familia hivyo ni vyema        kuhamasisha kinamama kuhudhuria kliniki jambo ambalo litawasaidia kupata huduma mbali mbali kuhusiana na vyakula            ambavyo vitawasaidia wakati wa             kunyonyesha na kumsaidia mtoto anaekua hususani        maandalizi ya vyakula kwa watoto wenye umri  chini ya miaka mitano.

Akiongeza kwakusema, njia pekee ya kuondoa tatizo la udumavu kwa watoto na magonjwa yasiyoambukiza kwa jamii ni elimu, na Wilaya ya Hai imejipanga vilivyo katika kuhakikisha elimu hiyo inatolewa kwenye jamii zote.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai