• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wananchi Kyuu Walia Na Masale

Imetumwa: February 4th, 2025

chi wa Kyuu wakati wakichangia mada baada ya kupewa elimu mbali za kisheria,linaloendelea kupitia kampeni ya kisheria inayoendelea wilayani Hai.

“kweli utakuta ni ndugu kwa ndugu wamefanya hayo makosa na wanataka kumaliza kwa utaratibu wa masale ,sisi tunaomba tu kama watakuja huko na masala zao ,nyie simamieni sheria zaidi ili matukio ya kuvunja haki za binadamu ziishe”

Awali akizungumzia athari za mila kandamizi katika jamii na namna zinavyo sababisha kukosekana kwa haki ya msingi ndugu Emmanuel ……..amesema kwa wilaya ya Hai wamekuwa wakipata changamoto ya ushahidi baada ya jani hilo kutumika.

“hili jani linaloitwa sale limekuwa changamoto sana katika ufuatiliaji wa haki za mhanga ,kwasababu ndugu wakishapeana sale uwahoni tena mahakamani kutoa ushahidi, hivyo mashauri mengi zinakosa ushahidi mahakamani na watuhumiwa kuachwa huru”







Wanafunzi washukuru kufikiwa na  Timu ya Msaada wa Kisheria

Wanafunzi wa shule ya sekondari Mukwasa iliyopo katika kata ya Masama Kusini wameishukuru serikali kwa kuwafikishia huduma ya msaada wa kisheria kupitia kampeni ya Mama Samia Legal Aid.

Wanafunzi hao wametoa shukrani hizo baada ya kupata elimu ya ukatili wa kijinsia na haki kwa watoto iliyotolewa na Timu ya wataalam wa Msaada wa kisheria  huku ikiambatana na utoaji wa msaada wa kisheria.

Akizungumza kwa niaba ya wenzake Frnansis Hendry amesema elimu hiyo itawasaidia kutambua viashiria vya ukatili na namna ya kutoa taarifa  wanapokutana na viashiria vya ukatili wawapo shuleni, nyumbani na maoeneo yoyote.

“napenda kutoa shukrani za dhati kwa Mama samia Legal Aid kwa kutufikishia elimu ya sheria na tuna amini changamoto zilizo ibuliwa zitapatiwa ufumzuzi, tunakushuru sana mama lakini pia tunaomba utaratibu kwa wanafunzi ambao hawana uwezo waweze kusaidiwa ili waendelee na elimu”

“Sisi kama wanafunzi tunapaswa kulindana sisi wenyewe kwa kutoa taarifa ya viashiria vya ukatili kama ambavyo tumefundishwa, na kupitia sisi ukatili utapungua”

Wanafunzi hao pia wameomba wazazi kuwasikiliza na kuwa karibu nao ili kumwekea mtoto mazingira ya kuweza kutoa taaarifa kwa urahisi ya ukatili na changamoto zozote wananzokabiliana nazo.

Kampeni ya Mama Samia Legal Aid inaendelea wilayani Hai kwa lengo la kutoa msaada wa kisheria kwa wananchi walio maeneo ya pembezeni na wasio na uwezo wa kusimamia mashauri yao ikiwa ni pamoja na ardhi,ndoa,miradhi,ukatili,matunzo na mengine mengi.









chi wa Kyuu wakati wakichangia mada baada ya kupewa elimu mbali za kisheria,linaloendelea kupitia kampeni ya kisheria inayoendelea wilayani Hai.

“kweli utakuta ni ndugu kwa ndugu wamefanya hayo makosa na wanataka kumaliza kwa utaratibu wa masale ,sisi tunaomba tu kama watakuja huko na masala zao ,nyie simamieni sheria zaidi ili matukio ya kuvunja haki za binadamu ziishe”

Awali akizungumzia athari za mila kandamizi katika jamii na namna zinavyo sababisha kukosekana kwa haki ya msingi ndugu Emmanuel ……..amesema kwa wilaya ya Hai wamekuwa wakipata changamoto ya ushahidi baada ya jani hilo kutumika.

“hili jani linaloitwa sale limekuwa changamoto sana katika ufuatiliaji wa haki za mhanga ,kwasababu ndugu wakishapeana sale uwahoni tena mahakamani kutoa ushahidi, hivyo mashauri mengi zinakosa ushahidi mahakamani na watuhumiwa kuachwa huru”







Wanafunzi washukuru kufikiwa na  Timu ya Msaada wa Kisheria

Wanafunzi wa shule ya sekondari Mukwasa iliyopo katika kata ya Masama Kusini wameishukuru serikali kwa kuwafikishia huduma ya msaada wa kisheria kupitia kampeni ya Mama Samia Legal Aid.

Wanafunzi hao wametoa shukrani hizo baada ya kupata elimu ya ukatili wa kijinsia na haki kwa watoto iliyotolewa na Timu ya wataalam wa Msaada wa kisheria  huku ikiambatana na utoaji wa msaada wa kisheria.

Akizungumza kwa niaba ya wenzake Frnansis Hendry amesema elimu hiyo itawasaidia kutambua viashiria vya ukatili na namna ya kutoa taarifa  wanapokutana na viashiria vya ukatili wawapo shuleni, nyumbani na maoeneo yoyote.

“napenda kutoa shukrani za dhati kwa Mama samia Legal Aid kwa kutufikishia elimu ya sheria na tuna amini changamoto zilizo ibuliwa zitapatiwa ufumzuzi, tunakushuru sana mama lakini pia tunaomba utaratibu kwa wanafunzi ambao hawana uwezo waweze kusaidiwa ili waendelee na elimu”

“Sisi kama wanafunzi tunapaswa kulindana sisi wenyewe kwa kutoa taarifa ya viashiria vya ukatili kama ambavyo tumefundishwa, na kupitia sisi ukatili utapungua”

Wanafunzi hao pia wameomba wazazi kuwasikiliza na kuwa karibu nao ili kumwekea mtoto mazingira ya kuweza kutoa taaarifa kwa urahisi ya ukatili na changamoto zozote wananzokabiliana nazo.

Kampeni ya Mama Samia Legal Aid inaendelea wilayani Hai kwa lengo la kutoa msaada wa kisheria kwa wananchi walio maeneo ya pembezeni na wasio na uwezo wa kusimamia mashauri yao ikiwa ni pamoja na ardhi,ndoa,miradhi,ukatili,matunzo na mengine ndani ya Jamii.




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai