• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wananchi wa Hai Waipongeza Elimu Msingi Matokeo Darasa VII

Imetumwa: November 30th, 2020


Wananchi wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro wametambua ufanisi wa Idara ya Elimu Msingi kwa kufanya vizuri Mtihani wa kumaliza elimu ya Msingi mwaka 2020 uliopelekea wilaya kushika nafasi ya nne Kitaifa na nafasi ya kwanza katika Mkoa wa Kilimanjaro.

Akikabidhi zawadi ya ngao kwa idara hiyo kwa niaba ya wananchi; Mbunge wa Jimbo la Hai Mhe. Saashisha Mafuwe amesema kuwa wataendelea kutambua utendaji wa idara mbalimbali na kutoa zawadi ili kuwamotisha watumishi wa halmashauri.

Amesema zawadi hiyo ni maalumu kwa Mkurugenzi wa halmashauri, Mkuu wa Idara ya Elimu Msingi na wasaidizi wake, Waratibu Elimu Kata na zaidi kwa walimu wote ambao ndiyo wanatekeleza jukumu la kuwalea wanafunzi kila siku.

“Hati hii ya ushindi naitoa kama motisha kwa watumishi wote wa Idara ya Msingi; ili Sekondari nao wajiratibu, Afya wajiratibu na idara nyingine za halmashauri ziweke juhudi kuhakikisha kuwa Wilaya ya Hai inafanya vizuri kwenye sekta zote”

“Tunatamani kila idara ifanye vizuri. Zawadi hii naikabidhi kwa Mkurugenzi, naye atamkabidhi Afisa Elimu naye ahakikishe kuwa inafika kwa walimu na kuwafahamisha kuwa tunatambua na kuthamini mchango wao mkubwa”. Amesisitiza Saashisha.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Hai Yohana Sintoo amemshukuru Mbunge kwa kutambua utendaji wa watumishi na kumhakikishia kuwa ofisi yake itaendelea kuimarisha utendaji wa idara zote ili kutoa huduma bora zaidi kwa wananchi.

Naye Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Hai Christopher Wangwe amesema kuwa ujumbe wa mbunge utawafikia walimu na kwamba ni Imani yake kuwa zawadi hiyo itaongeza ari ya utendaji.

 Kwenye matokeo ya Mtihani wa kumaliza elimu ya msingi yaliyotangazwa mapema mwezi Novemba 2020, Wilaya ya Hai imefanikiwa kushika nafasi ya nne kitaifa huku ikiibuka naasi ya kwanza kwenye Mkoa wa Kilimanjaro kwa kufikia ufaulu wa asilimia 97.76.  



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai