• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wananchi Wahamasishwa Kujitokeza Uchaguzi Mdogo Hai

Imetumwa: September 13th, 2018

Wananchi katika kata za Machame Uroki na Kia Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki zoezi la kupiga kura kuchagua viongozi wanaowataka kwenye uchaguzi mdogo utakaofanyika septemba 16 kwenye kata hizo.

Akizungumza na Redio Boma FM mapema leo tarehe 13/09/2018, Afisa uchaguzi kutoka tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Magreth Chambiri amewakumbusha wananchi kuwa ni marufuku kwenda kwenye kituo cha kupigia kura wakiwa wamevaa vazi lenye nembo ya chama.

Chambiri amesema hayo wakati wa kutoa elimu kwa wapiga kura kuelekea uchaguzi huo wa madiwani utakaofanyika katika kata mbili zilizopo katika jimbo la Hai ambapo amewahamasisha wananchi kushiriki zoezi la uchaguzi kwani ni haki yao.

“Niwahimize wananchi wa maeneo yenye uchaguzi kufika kwenye vituo vya kupigia kura wakiwa na kadi ya kupigia kura au utambulisho mbadala na kuchagua viongozi wanaowataka” Amesisitiza Chambiri.

Sanjari na hayo ameongeza kuwa wananchi wanao wajibu wa kufuata sheria na taratibu zilizowekwa katika chaguzi hizo kwani utulivu na kufuata sheria kutapelekea wao kuwa salama na kupata kiongozi bora wa kuwawakilisha na kutatua kero zinazowakabili katika maeneo yao.

Akikagua maandalizi ya chaguzi hizo Kamishna wa Uchaguzi Taifa Omar Mapuri amewataka wasimamizi wa uchaguzi huo kufuata sheria na kanuni kama walivyoelekezwa kwenye semina ya kuwaandaa kusimamia uchaguzi huku akiwataka kila mmoja kuwajibika kulingana na majukumu yake.

Kwa upande wake Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Hai Yohana Sintoo amewataka wasimamizi wa uchaguzi kuwa makini wakati wa kutekeleza majukumu yao siku ya uchaguzi.

“Dhamana mliyonayo ni kubwa sana kwani zoezi hili ni muhimu linalohitaji umakini mkubwa; nawaombeni sana mzingatie sheria za uchaguzi kama mlivyofundishwa kwenye semina” Amesema Sintoo.

“Msimamizi au msimamizi msaidizi akitumiaa vibaya madaraka yake na kusababisha matokeo ya uchaguzi kubatilishwa atakabiliwa na faini au kifungo au vyote viwili kama inavyoelezwa kwenye sheria ya uchaguzi, hivyo ndugu zangu nawaomba muwe makini katika kutekeleza majukumu yenu ” Ameongeza Sintoo.

Uchaguzi Mdogo wa marudio unafanyika kwenye kata za Machame Uroki na Kata ya Kia baada ya waliokuwa madiwani katika kata hizo hivi karibuni kujiuzulu nafasi zao za Udiwani ambazo walikuwa wakizitumikia kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na badae kuhamia katika Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai