• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wananchi Waishukuru Serikali Ujenzi Wa Shule Mpya Ya Sekondari

Imetumwa: July 11th, 2023

Wananchi wa kitongoji cha Mlima Shabaha kata ya Muungano wilaya ya Hai wameishukuru serikali kwa ujenzi wa shule mpya ya sekondari itakayo wahudumia wanafunzi wa kata ya Muungano na kata za jirani.

Ujenzi wa shule hiyo unaotarajiwa kugharimu kiasi cha shilingi 584,284,629 utatatua changamoto ya msongamano ya wanafunzi katika shule ya sekondari Hai ambayo kwa sasa inahudumia wanafunzi wengi zaidi.

Wakizungumza Julai 10, 2023 wakati wa kutambulisha mradi huo wananchi hao wameshukuru kwa kupata shule katika eneo hilo ambalo lina changamoto kubwa ya uwepo wa shule ya sekondari  kwa sasa wanafunzi ulazimika kutembea zaidi ya kilomita 10.

“Niombe utupelekee salamu hizi kwa Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutuletea fedha nyingi kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari mpya kabisa ya kisasa, mpaka sasa furaha niliyonayo sijui tulichelewa wapi wana Hai”

“Hakika Rais amefanya jambo jema kwa wananchi wa Milma shabaha, tunamshukuru pia kwa kututeulia viongozi wanaowatumikia wanachi kwa dhati.”

Naye Elizaberth Mbonika amesema watoto wengine walishindwa kumaliza shule kwa kutembea umbali mrefu na kukutana na changamoto mbali mbali njiani lakini sasa kwanzia mwaka 2024 tatizo hilo litakwisha.

“mradi huu ni muhimu kwa ajili ya watoto wetu, kipekee tuwashukuru sana viongozi wetu wote Mhe Diwani,Mbunge wa Jimbo la Hai Saashisha Mafue pamoja na Mkuu wa wilaya kwa jitahada walizo fanya kutuletea fedha hizi kwa ajili ya ujenzi wa shule,fedha hizi ni nyingi milioni zaidi ya 500,tunaamini  zikitumika ipasavyo  tutafikia malengo ya watoto wetu”

Akizungumza na wananchi katika kikao cha kukabidhi mradi huo Mkuu wa wilaya ya Hai Amiri Mkalipa amewataka wananchi hao kutoa ushirikiano, kushiriki pamoja na kulinda vifaa vya ujenzi wa shule hiyo.

"wajibu wenu wa kwanza ni kushiriki kikamilifu katika  zoezi hili kwanzia mwanzo mpaka mwisho, muwe walinzi wa vifaa vitakavyotumika katika ujenzi lakini kujitolea nguvu kazi pale itakapohitajika"

Kwa upande wake Afisa elimu sekondari wilaya ya Hai Julias Mduma akisoma taarifa ya mradi huo ametaja majengo yatakayojengwa katika mradi huo kuwa ni  madarasa nane, jengo la utawala, maabara tatu, maktaba moja, chumba cha Tehama, vyoo vya wavulana matundu manne, vyoo vya wasichana matundu manne, kichomea taka pamoja na tenki la maji la ardhini.

Aidha diwani wa kata hiyo ambaye pia ni mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Hai Edmund Rutaraka ameahidi ushirikiano na usimamizi dhabiti wakati wote wa ujenzi wa shule hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai