• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wananchi Watakiwa Kujitokeza Kupatiwa Msaada Wa Kisheria

Imetumwa: January 23rd, 2023

Afisa Tawala wilaya ya Hai Mary Mnyawi akimwakilisha mkuu wa wilaya ya Hai Juma Irando kwenye uzinduzi wa wiki ya sheria, amewataka wananchi kujitokeza kupatiwa msaada wa kisheria ikiwemo kujengewa uwezo wa njia bora za usuluhishi wa mogogoro.

Mnyawi amesema hayo Januari 23, 2023 katika uzinduzi huo ambapo kabla ya kutoa hotuba yake katika mahakama ya mwanzo Bomang'ombe, aliwaongoza wananchi na wadau wa sheria katika maandamano ya amani yaliyoanzia katika mahakama ya wilaya hiyo hadi mahakama ya mwanzo Bomang'ombe.

Aidha amewataka mahakimu na wadau wa mahakama kwa ujumla kutambua nafasi zao katika kutoa haki kwa wananchi endapo kutatokea kesi au utatuzi wa mogogoro.

Hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Hai Julieth Mawole akizungumza katika uzinduzi huo ameeleza kuwa siku za hivi karibuni kumeibuka ukatili dhidi ya watoto ikiwemo ubakaji na ulawiti.

Hivyo wamejipanga kikamilifu kutoa elimu kwa watoto na jamii kwa ujumla kuhusu ubaya wa matukio hayo pamoja na adhabu ambazo sheria imeweka juu ya matukio hayo huku akiwataka wazazi kuwa karibu na watoto wao na kuwahoji maswali kuhusu maisha yao na miili yao kwa ujumla.

Kamanda wa TAKUKURU wilaya ya Hai Josia Gunda alipozungumza katika uzinduzi huo ameeleza kuwa taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa iko mbioni kuanzisha mfumo mpya wa mapambano dhidi ya rushwa kwenye ngazi ya kata (Takukuru Rafiki) kwa lengo la kukabiliana na vitendo vya rushwa kuanzia ngazi ya kata ikiwa ni moja wapo ya njia ya kutatua matatizo kwenye jamii.

Awali akizungumza kwenye uzinduzi huo, diwani wa kata ya Bomang'ombe Evod Njau amewataka wananchi wa kata hiyo wenye kero na matatizo mbalimbali kutumia wiki ya sheria kutokeza kupeleka matatizo hayo kwenye jopo la mahakimu ili waweze kupatiwa msaada wa kisheria.

Kauli mbiu katika wiki ya sheria mwaka huu inaeleza "Umuhimu Wa Utatuzi Wa Mogogoro Kwa Njia Ya Usuluhishi Katika Kukuza Uchumi Endelevu: Wajibu Wa Mahakama Na Wadau"

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai