• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wananchi Wilaya ya Hai Watakiwa Kuongeza Ushiriki Kutunza Mazingira

Imetumwa: June 5th, 2020

Wananchi katika Halmashauri ya Wilaya ya Hai wametakiwa kuongeza ushiriki wao katika masuala yanayohusu utunzaji wa mazingira katika maeneo yao.

Wito huo umetolewa na Afisa Mazingira wa Halmashauri hiyo Alfred Njegite akizungumza kwenye kipindi cha Siku Mpya kinachorushwa na Redio Boma wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Mazingira.

“Shughuli za utunzaji wa mazingira zinatakiwa kufanywa na kila mwananchi kwani kila mahali kwenye watu panakuwa na uzalishaji wa taka. Serikali peke yake haiwezi kufanya kazi hiyo bali itafanikiwa kama wananchi watashiriki kwa sehemu yao” Ameongeza Njegite.

Amesema maadhimisho ya Siku ya Mazingira mwaka huu hayatafanyika kwa kukusanyika bali kwa kutekeleza shughuli za utunzaji wa mazingira ikiwemo kuotesha miti, kufanya usafi wa mazingira, kutembelea na kuimarisha utunzaji wa mazingira kwenye vyanzo vya maji.  

Naye Afisa Maliasili Wilaya ya Hai Mbayani Mollel ameikumbusha jamii ya wilaya hiyo kuendelea kupanda miti na kutunza miti iliyopo kwenye maeneo yao huku akibainisha faida za kuwa na misitu ni pamoja na kupata mvua za uhakika, kutunza vyanzo vya maji, kupata matunda na kivuli pamoja na hewa safi.

Amesema katika jitihada za kutunza mazingira halmashauri inaendelea kupanda miti kwenye vyanzo vya maji, kwenye maeneo ya wazi, kwenye hifadhi za misitu pamoja na kugawa na kuhamasisha wananchi kuotesha miti kwenye maeneo wanayoishi.

Kwa upande wake Afisa Kilimo wa wilaya hiyo David Lekei amewataka wananchi kufanya shughuli za kilimo na ufugaji kwa kuzingatia utunzaji wa mazingira kwa kupanda mbegu zinazokomaa kwa muda mfupi, kufanya kilimo cha kubadilisha mazao kwa mzunguko wa mazao yenye mizizi mirefu na ile yenye miziz mifupi.

Aidha Lekei amewakumbusha wananchi kubadilika kutoka kilimo cha kutegemea mvua na badala yake kutumia kilimo cha umwagiliaji huku akiwaasa kutumia kwa uangalifu rasilimali maji.   

Tarehe 05 Juni kila mwaka imetengwa na Umoja wa Mataifa kuwa Siku ya Mazingira duniani ambapo dunia nzima inajumuika pamoja kutambua umuhimu wa mazingira na kukumbushana namna bora ya kuimarisha utunzaji wake.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai