• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wanufaika TASAF Wilaya ya Hai Kuhakikiwa

Imetumwa: June 9th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ameagiza kufanyika uhakiki wa kina kuhusu wanufaika wa mfuko wa maendeleo ya Jamii TASAF wilayani humo ili kubaini wasio na sifa.

Ametoa agizo hilo wakati akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai pamoja na wawakilishi kutoka kwenye taasisi za serikali zilizop Wilayani humu ikiwa ni pamoja na  Bank ya NMB,  CRDB, TAKUKURU,  KADCO, TANESCO HAI, kamati ya Siasa wilaya pamoja na Baadhi ya Madiwani.

Amesema lengo la uhakiki huo ni kupata taarifa sahihi ya  wanufaika wa mradi huo wa Tassaf ikiwa waliopo kama wanastahili kuendelea kuwepo, na kama kuna ambao wanastahili kuingia kwenye mradi huo hawapo wapatiwe fursa yakuingia kwenye Mradi.

Amesema “Mh. Rais Ikulu alitupa taarifa Kwamba wapo wanufaika elfu 58 hewa kwenye Tasaf kwahiyo tunataka tujivue lawama, tunataka tutekeleze maelekezo ya Mh. Rais kwa vitendo tutafanya uhakiki wawanufaika wote mmoja baada ya mwingine” .

“Kwahiyo tunataka tuhakikishe kuwa wale wanaonufaika na fedha hizo ni watu sahihi, kwa hiyo wale wengine tutawazuia, kuanzia sasa shughuli zote za tasaf nimesitisha, ikiwemo ofisi utabaki wewe mwenyewe mratibu ila wengine watupishe, takukuru na wengine kwenye kamati mtafanyia kazi pale mpaka zoezi likamilike na mniletee taarifa ndani ya wiki 3” Ameongeza Sabaya.

Aidha amesema kuwa zoezi hilo la uhakiki litafanywa na kamati maalum iliyoundwa  kwaajili ya kazi hiyo itakayo kuwa chini ya TAKUKURU na kudumu kwa muda wa mwezi mmoja.

“Naniwatake vyombo vya ulinzi na usalama, nimeunda kamati maalumu na nimeelekeza iwe chini ya TAKUKURU, mshirikiane pia na mratibu wa Tasaf katika kipindi hicho mthibitishe, tutafanya uhakiki wawanufaika wote mmoja baada ya mwingine na wale ambao wameshanufaika na wanatakiwa waondoke kwenye mradi tutawatoa ili tuwe na listi sahihi’’ Amesema Sabaya.

Mradi wakuzinusuru kaya maskini ni miongoni mwa miradi inayosimamiwa na TASAF hapa nchini ambapo wanufaika huwa wanapatiwa fedha kwaajili ya kujikimu na hadi sasa jumala ya walengwa 3887.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai