• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Watu Saba Wanashikiliwa na Polisi na Kutakiwa Kulipa Mamilioni

Imetumwa: November 20th, 2018


Viongozi saba wa Bodi ya  chama cha ushirika cha kuweka na kukopa cha Uswaa Mamba kilichopo katika kijiji cha uswaa kata ya Machame Uroki  wamekamatwa na jeshi la polisi Hai kwa tuhuma za ubadhilifu wa fedha kiasi cha shilingi milioni 126.

Viongozi hao waliokamatwa  ni Godbless Uroki, Helen Mtui, Salatiel Kweka, Godwin Kimaro, Grace Ombeni, Japhet Shoo, Shirelingo Ulomi pamoja na Karani ambaye ni  Jema Mwakatobe na wametakiwa kulipa fedha hizo haraka ili kuwawezesha wanachama wa chama hicho kuendelea kupata huduma iliyokusudiwa.

Akitoa agizo la kukamatwa kwa viongozi Hao, Mkuu wa Wilaya ya Hai Mhe Lengai Ole Sebaya amesema hata vumilia kuona haki ya wananchi wanyonge ikipotea ambapo aliagiza viongozi hao baada ya kuhojiwa na Jeshi la Polisi wakabidhiwe kwa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) kwa ajili ya uchunguz zaidi.

“Kwasababu ya maisha yenu mmeamua kuwadhulumu wanyonge leo mnakuja kufika mwisho na mwisho wake nikurudisha fedha za wanyonge  basi, katika hilo sina mjadala “ amesisitiza  Sabaya

“‘Kwenye serikali hii ya Raisi Magufuli ukoo maarufu kuliko wote ni ukoo wa wanyonge kwahiyo ninyi mjipongeze kwa kutoka mnatoka katika ukoo huu bora”.

“Nataka pesa ya ukoo huu bora ilipwe sina mjadala juu ya hilo mmechukua mafichoni na sasa mtarudisha hadharani sina mjadala katika hili mmechukua ili mseme serikali imeshindwa kutekeleza wajibu wake. Ndugu wananchi serikali imetekeleza wajibu wake” ameongeza Sabaya

Aidha ametoa maagizo kwa ofisi ya ushirika  kuhakikisha kuwa anafuatilia kwa karibu sana mwenendo wa chama hicho endapo kinawanufaisha  wanachama wa kawaida na endapo hakiwanufaishi wanachama hao utaratibu wa kufuta ufuatwe pia amemtaka afisa huyo kufanya uhakiki wa madeni yote pamoja na kujua kiasi gani cha pesa kilichopo kwenye akaunti hiyo.

Kwa upande wake Afisa Ushirika Joel Marandu ambaye  amesema kuwa chama cha uswaa mamba kimekuwa na malalaliko ya muda mrefu pamoja na kuwepo kwa madeni sugu na mengine kutolewa nje ya utaratibu.

Ameongeza kuwa ofisi ya ushirika ilifanya  ukaguzi mwaka 2016 na  kubaini kuwa kulikuwa na madeni ya milioni 126  ambayo kati ya hizo mtuhumiwa mmoja ambaye ni karani wa chama  hicho jema mwakatobe anakadiriwa kuwa na upotevu wa milioni 102.

Naye diwani wa kata ya Machame Magharibi, Martine Munisi  amempongeza Mkuu wa Wilaya kwa kuwa  mtetezi wa wanyonge asiyependa kuona uonevu unatokea kwa wananchi wake.

“Kazi hii ingetakiwa ifanywe na mbunge wa hapa ambaye ni mwakilishi wa wananchi lakini katika haliya kawaida mambo kama haya yanapotokea tunasema tunakuunga sana mkono na mungu azidi kukubariki.”alisema Munisi

Kwa upande wao wanachama wa chama hicho wamemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kutetea haki yao ambayo wamehangaika kwa muda mrefu bila kuipata na kumwomba azidi kuwaangalia dhidi ya watu waonevu.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai