• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Watumishi Wa Afya Watakakiwa Kutoa Huduma Nzuri Kwa Wagonjwa

Imetumwa: December 15th, 2022

Mbunge wa Jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amewataka watumishi wa Hospital ya wilaya ya Hai kutoa huduma nzuri kwa wagonjwa na kutumia lugha nzuri pindi wanapowahudumia.

Saashisha ameyasema hayo leo Disemba hiyo 15 2022  na kusema kuwa lengo la kufika katika Hospital hiyo  kuona Maendeleo ya fedha za Serikali pamoja na kuzungumza na watumishi Hao.

Saashisha amesema kuwa watumishi hao wameahaidi kufanya kazi kwa weledi na kuimarisha huduma za afya pamoja na kuwa na lugha nzuri kwa wagonjwa, na kuwa dawa zipo kwa asilimia 97.

"Tumepata muda wa kuzungumza vizuri na watumishi wote  wa hospitali hii na wamehaidi kutoa huduma nzuri pamoja na kutumia lugha nzuri kwa wagonjwa wetu,hivyo ni Imani yangu kwamba wananchi wanaenda kupata huduma inayostahili, hivyo niwatoe hofu wananchi wa Jimbo la  Hai kwani watumishi wamehaidi wenyewe na watakwenda kuimarisha huduma."

Pia amemshukuru Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa fedha alizoleta katika jimbo la Hai kwenye sekta ya afya kiasi cha shilingi Bilioni 1.3 na hospital ya Wilaya imepata shilingi milioni 900 kwa ajili ya matengenezo na majengo matatu pamoja na njia za kuunganisha jengo kwa jengo ,kujenga kichomea taka ambacho kilikua kero kwa wananchi.

Kwa Upande wake Diwani wa Kata ya  Bomang'ombe Evod Njau amesema kuwa wamepokea shilingi milioni 900 kwa ajili ya hospital ya Wilaya ya Hai na nimatuini kuwa fedha iyo itatumika kama ilivyokusudiwa  chini ya usimamizi na kwamba wao kama madiwani wanamuunga mkono Mbunge wao. 

Nae Mganga Mfawidhi wa Wilaya Ya Hai Dkt. Grace Charles amesema kuwa wamepokea yale yote mbunge aliyoagiza pamoja na kuwasimamia watumishi ili waweze kutoa huduma nzuri na kuwa na lugha nzuri kwa wagonjwa.

Pia amemshukuru Raisi wa Jamhuri ya Muunguno wa Tanzania kwa fedha kiasi cha shilingi milioni 900  na kwamba zitatumika kama zilivyokusudiwa na hawatamuangusha Mbunge kwani amekua akiwasemea kuhusu changamoto za hospital hiyo na zimefanyiwa kazi.

Pamoja na Mhe. mbunge kufanya ziara katika hospitali hiyo pia ametembelea wagonjwa katika wodi na wagonjwa wa nje.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU NA MHUDUMU WA JIKONI June 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Ujenzi Wa Bweni La Shule Ya Machame Kukamilika Kabla Ya June 19

    May 29, 2025
  • Vijana Wasauriwa Kutumia Fursa

    May 27, 2025
  • Wafanyabiashara Wa St Stend Wasikilizwa

    May 22, 2025
  • Wafanyabiashara Wa Send Wasikilizwa

    May 22, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai