• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Watumishi wa Afya Watakiwa Kuhudumia Bila Ubaguzi

Imetumwa: June 22nd, 2019

Kongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2019 Mzee Mkongea Alli amewataka watumishi wa idara ya Afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro kuendelea kuwajibika na kuwahudumia wananchi bila ubaguzi wala chuki.

Ameyasema hayo leo wakati Mwenge wa Uhuru ulipotembelea mradi wa Duka la Dawa katika hospitali ya Wilaya ya Hai ili kujionea huduma zinazoendelea kutolewa kwenye duka hilo tangu lilipozinduliwa na Mwenge wa Uhuru mwaka 2018.

“Madaktari wetu tunawapenda sana naa tunajua mnafanya kazi ngumu masaa 24 jambo moja napenda kuwashauri ni kuwa na lugha nzuri kwa wagonjwa itakayowapa faraja”

“Pia tunao wazee wetu; tuwape kipaumbele kwenye kupata huduma kwani wao wametulea hadi kufikia hapa tulipo na ndio waasisi wa Taifa letu” Amesema Mkongea Ali.

Amewataka watumishi hao wa afya kutekeleza wajibu na majukumu yao ya kuwahudumia wagonjwa kwa moyo wao wote kwani ndiyo kazi waliyotumwa na serikali kuhudumia watu wake hasa wananchi wa kawaida.

Sambamba na hili amewataka watumishi wote wa umma kwenye kada mbalimbali kutekeleza majukumu yao kwa uaminifu na uadilifu na kukemea tabia ya baadhi ya watumishi kuchukua mali na vifaa vilivyonunuliwa na serikali kwa ajili ya matumizi ya umma na kuvitumia kwa matumizi binafsi.

Aidha amewataka wananchi kutumia kwa vizuri huduma wanazopatiwa na serikali ikiwemo vyandarua vinavyogawiwa kwa wajawazito ili kuwakinga na ugonjwa wa malaria na kuachana na tabia ya kutumia vyandarua kwa matumizi yasio sahihi kama kufunika buastani za mboga au kuvulia samaki.

Mwenge wa Uhuru mwaka 2019 umetembelea Duka la Dawa katika hospitali ya Wilaya ya Hai lililojengwa kwa shilingi 41,485,900 ambalo lilizinduliwa na Mwenge wa Uhuru mwaka 2018 ambalo linatoa huduma saa 24 na kuridhishwa na utendaji wa duka hilo kuanzia ujenzi wake, mifumo ya kuagiza dawa pamoja huduma zinazotolewa kwa wagonjwa.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai