• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Watumishi wahamasishwa kunywa maziwa

Imetumwa: October 7th, 2019

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Yohana Sintoo ameongoza watumishi wa makao makuu ya halmashauri hiyo kuhamasisha unywaji wa maziwa kwa jamii.

Akizungumza kwenye kikao cha asubuhi na watumishi hao Sintoo amewataka watumishi na wananchi kwa ujumla kujizoesha tabia ya kunywa maziwa kwani maziwa yana faida nyingi kwenye mwili wa binadamu.

Mkurugenzi Mtendaji amewahamasisha watumishi kunywa maziwa na kuwakumbusha kuwa wanatakiwa kuwa mabalozi wa mambo mazuri yenye faida kwa jamii na kwa kusisitiz hili Sintoo amewanunulia watumishi wote wa makao makuu kikombe kimoja cha maziwa kama motisha wa kuhamasisha wengine.

“Leo natoa ofa kwa watumishi wote wa makao makuu kunywa glasi moja ya maziwa ili kuwahamaisha na ninyi mkanunulie famila zenu, marafiki na majirani zenu ili kuambukizana tabia njema ya kunywa maziwa” Ameongeza Sintoo.

Sintoo amefikia kutoa rai hiyo baada ya kupokea taarifa za Idara ya Mifugo na Uvuvi iliyowasilishwa na  Mkuu wa Idara hiyo Elia Machange ya uwepo wa mashine ya kielektroniki ya kuuzia maziwa (ATM ya  Maziwa) katika Wilaya ya Hai.

Machange amesema kuwa  ATM hizo zimegawiwa kwa kikundi cha vijana wa Nronga Wilaya ya Hai ambao walishindanishwa na vikundi vingine 20 vya vijana wanaojishughulisha na biashara ya maziwa katika wilaya za Hai na Siha.

Akizungumzia mashine hiyo Mkani Waziri ambaye ni Mshauri Mwelekezi na Meneja Mradi Tanzania wa kampuni ya Match Maker amesema mashine hizo zenye thamani ya shilingi milioni 16.5 (Tshs.16,500,000) zimepatikana kupitia mradi wa Dairy Profit unaotekelezwa kwenye nchi tatu za Uganda, Kenya na Tanzania unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya.

Kwa upande mwingine Vickyneema Dickson mmoja wa vijana wa mradi wa maziwa Nronga amesema kuwa ATM hiyo ya maziwa inawawezesha wateja kununua maziwa kulingana na uwezo wao kuanzia sh. 500 na kuendelea na kwamba huduma hiyo inapatikana kila siku kuanzia saa moja asubuhi hadi saa tatu usiku.

Naye Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Hai Dkt. Emmanuela Urassa amesema kunywa maziwa kuna faida nyingi kwa mwanadamu ikiwemo kupata madini ya Calcium yanayoimarisha meno na mifupa, pia kuna protini inayompa mtu nguvu, fosforasi inayosaidia kutengeneza nguvu na kuimarisha mifupa ikiwemo na Vitamini B12 inayosaidia utengenezaji wa chembechembe nyekundu za damu, na kusaidia mishipa ya fahamu ifanye kazi kwa ufanisi.

"Inashauriwa mtu anywe glasi moja ya maziwa kila siku ili apate manufaa na faida nilizotaja kwenye meno, mifupa na  kwenye mishipa ya fahamu". Amesema Dk. Urassa.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai