• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wazazi Waaswa Kutenga Muda wa Kukaa na Watoto wao

Imetumwa: June 16th, 2019

Katika kuhakikisha watoto katika jamii ya Kitanzania wanapatiwa haki zao za kimsingi ikiwemo elimu na malezi bora Wazazi wametakiwa kutambua wajibu wao ikiwa ni pamoja na kutenga muda wakukaa na kuangalia maendeleo ya watoto wao kwa wakati wote.


Rai hiyo imetolewa hii leo June 16 2019 na Katibu tawala wilaya ya Hai Bi. Upendo wella wakati akizungumza katika maazimisho ya Siku ya mtoto wa Afrika ambapo kimkoa yamefanyika katika Viwanja vya Ofisi ya Kijiji cha machame Nkuu kata ya machame Mashariki wilayani Hai.


Amesema kuwa jamii ya sasa hasa wazazi kwakiasi kikubwa wamejikita kwenye shughuli zao za kila siku hali inayosababisha kusahau wajibu wao kwa watoto na kusababisha kukosa haki ya kutunzwa na wazazi wao.


"Hatuna budi kuangalia upyaa mtizamo wetu kwa watoto kama wazazi, walezi na jamii kwa ujumla kuhusu majukumu yetu kwa watoto kwa malezi na makuzi kwa watoto,kina mama wengi Kilimanjaro tumejikita zaidi kwanye kufanya shughuli/za maendeleo, lakini pia tunatakiwa tutenge muda kwaajili yakuangalia maendeleo ya watoto wetu na kufuatilia mienendo ya watoto wetu natusjikite tu kwenye shuguli za maendeleo peke yake" Amesema Pendo wella.


Aidha amesema jukumu lakulea na kutunzwa ni wajibu wa wazazi na jamii yote hivyo kila mmoja anawajibu wakuhakikisha watoto wanakuwa na kutunzwa katika mazingira salama na kwamba wajibu wakwanza upo mikononi mwa wazazi.


"Kina mama tunawahasa wawape watoto haki yakuzaliwa, kuna kunyimwa haki ya kuzaliwa kwa kutoa mimba, na jua wapo wenzetu ambao wanaamini kwamba ni haki ya mama kuzaa au kutokuzaa,nashauri kuchagua kutokupata ujauzito na hatimae kutoa na kumkosesha mtoto haki ya kuishi" Ameongeza.


Ameongeza kuwa kutokana na tatizo la mimba za utotoni kumechangia watoto hao kukosa haki ya kupata elimu nakwamba swala hilo pia limeonekana kuwa changamoto katika wilaya ya Hai hasa katika shule za sekondary, hivyo ameitaka jamii kutoa ushirikiano kwa pamoja katika kumlinda mtoto ikiwa ni pamoja na kuwafichua wanaofanya vitendo hivyo.


"Suala la ujauzito limekuwa likiongezeka hususa nikatika shule za sekondary, pia utandawazi umechangia sana kwahiyo wazazi na jamii tutoe ushirikiano katika kuwafichua wanao wapa mimba kuliko kumalizana kinyumbani kwasababu anaeathirika ni mtoto na maisha yake yanapotea moja kwa moja, nitoe wito kwa wana Hai nakilimnjaro kwa pamoja katika kuhakikisha tunawalinda watoto wetu ili wasiweze kupata uajauzito" Amesisitiza.


Pia amewaasa wanafunzi kuepukana na vishawishi wanavyo kumbana navyo kwani vitasababisha kukatisha kukatisha masoma nakutokufikia malengo ya baadae.


Maadhimisho hayo mwaka huu yameambatana na kauli mbiu isemayo "Mtoto ni msingi  wa taifa endelevu, tumtunze, tumlinde na kumuendeleza".


Tarehe 16 Juni ya kila mwaka ni siku ya 'Mtoto wa Afrika', siku maalum ambayo inakumbukwa kutokana na jinsi ambavyo watoto wa shule wa Kiafrika waliuawa kikatili na makaburu eneo la Soweto nchini Afrika Kusini wakipinga unyanyasaji uliokuwa ukiendelea.


Tukio hilo lilitokea mnamo Juni 16, 1976, ambapo inakadiriwa kuwa zaidi ya waandamanaji 20,000 walihusika, huku makadirio yakiwa ni zaidi ya wanafunzi 176 hadi 700 inatajwa kuwa walipoteza maisha.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai