• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wilaya ya Hai Kupambana na Ukatili kwa Watoto

Imetumwa: July 17th, 2020

Serikali katika wilaya Hai mkoani Kilimanjaro imedhamiria kusimamia na kutekeleza kikamilifu sheria ya makosa ya jinai kwa mtu atakayejihusisha na masuala ya ukatili kwa watoto.

Hayo yamebainishwa na Afisa Ustawi wa Jamii Wilaya ya Hai Helga Simon wakati wa mafunzo maalumu ya kuwajengea uwezo wanajamii wa vikundi vya kiuchumi ili kuiongezea jamii ufahamu wa vitendo vya ukatili.

Amebainisha kuwa serikali haina mchezo kwenye ulinzi wa watoto huku akisema kuwa mtu yeyeote atakayehusika kumtoa ujauzito mwanafunzi ili kupoteza ushahidi atawajibishwa kwa mujibu wa sheria za makosa ya jinai ili kupunguza wimbi la wazazi au walezi kushiriki makossa hayo.

“Tumeamua kushirikisha jamii ili elimu ya masuala ya ukatili ienee kwenye jamii ili kuongeza wigo wa kupambana na masuala hayo kwani wanajamii wanafahamiana na wanaishi pamoja kwenye maeneo yao” Amesema Helga.

Aidha Helga ametoa wito kwa wanajamii kuwajibika kila mmoja kwenye eneo lake kama mzazi, mlezi, jirani au kiongozi wa kijamii kwa kutoa taarifa za vitendo vya ukatili vinavyofanyika kwenye maeneo yao.

Kwa upande wake Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto la Polisi Wilaya ya Hai Happiness eliufoo amesema kuwa wanaendelea kusimamia sheria zilizowekwa na kwamba mtu yeyeote atakayepatikana kutenda kosa la ukatili ikiwemo kuwatoa mimba wanafunzi atafikishwa mbele ya vyombo husika.

“Wilaya ya Hai bado ipo kwenye mapambano ya kutokomeza vitendo hivi vya ukatili. Tunatumia njia mbalimbali kuelimisha jamii kwenye mikutano na pia kwa kutumia redio Boma FM ili kuwafikia wananchi wengi Zaidi na hatimaye kuwa na jamii inayotambua na kupiga vita aina zote za ukatili” Amesema Eliufoo.

Naye Mathayo Mlay amesema amefurahia mafunzo waliyopatiwa kwani yamemsaidia kupata uelewa wa masuala yanayohusu ukatili hivyo kuwafanya waweze kushiriki katika vita ya kupambana na vitendo hivyo.

Vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa watoto vimekuwa vikichangia kuharibu ndoto za watoto ambao ni tengemeo la Taifa na kusababisha kupunguza nguvu kazi huku maafisa ustawi wa jamii na dawati la jinsia na watoto wakiwekeza nguvu kubwa kupambana na vitendo hivyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai