• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wilaya ya Hai Waliombea Taifa Kuepushwa na Corona

Imetumwa: March 21st, 2020

“Katika kipindi hiki cha ugonjwa; watu wetu wasitindikiwe na kitu kwa kudhulumiwa kwa sababu ya ugonjwa huu. Tulikuwa tunanunua sanitizer shilingi 2,500; leo hii watu wameuza shilingi 10,000 hadi 15,000”

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya amemwaagiza afisa biashara katika wilaya hiyo kuwakamata wafanyabiashara na kuyafunga maduka yote ambayo yatabainika kupandisha bei ya bidhaa zinazotumika kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa corona ikiwemo barakoa na vitakasa (sanitaizer).

“Tukikuta uthibitisho wa namna yoyote kuwa umetumia nafasi hii ya watu wanaooteseka wakati ambapo Taifa linajitahidi khakikisha usalama wa kila mtu; ukapandisha bei; tutalifunga duka lako.

Ameagiza kuanza mara moja kwa ukaguzi wa dharura katika maduka yanayouza vifaa hivyo ili kuhakikisha kuwa vinawafikia wananchi kwa bei inayotakiwa ili waweze kujikinga na maambukizi ya homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid 19).

Ole Sabaya ametoa agizo hilo wakati akizungumza na viongozi wa dini kabla ya kuanza kwa ibada maalum ya kumuomba Mwenyenzi Mungu aliepushe Taifa na ugonjwa wa Corona ambao sasa ni janga la dunia.

Katika hatua nyingine, mkuu huyo wa wilaya alisema kuwa wamejipanga kusambaza sanitaizer kwenye baa na hoteli zote wilayani humo bure ili wananchi waweze kupata huduma hiyo kwa urahisi na kujikinga na ugonjwa huo.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Yohana Sintoo amewataka viongozi wa dini kutumia nafasi zao kuwaelimisha waumini wao kuhusu ugonjwa huo ili kuwasaidia kuepuka taarifa za uongo zinazosambaa na kusababisha taharuki na hofu kwa jamii kuhu akikumbusha kuwa hofu inaweza kusababisha madhara makubwa iwapo itaachwa itawale wanannchi.

Sintoo amewataka viongozi wa dini kusimama na kuitetea nchi na kufanya maombi  juu ya janga hilo linaloikabili dunia kwa sasa.

Akizungumza kwa niaba ya viongo wengine, Hussein Mwanja amesema kutokana na hali ilivyo kwa sasa waumini wa dini zote wanatakiwa kujiwekea utaratibu wa kusali nyumbani ili kuondokana na msongamo kama serikali inavyoelekeza

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai